You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Maoni: Dhima ya Rwanda katika vita vya Msumbiji
Kwa nini imechukua muda mrefu kwa SADC kutuma kikosi Msumbiji? Upi mustakhbali wa Msumbiji katika mazingira ya vita?
Jasusi wa Urusi akamatwa nchini Ujerumani
Ujerumani inamzuilia raia mmoja wa Uingereza anayetuhumiwa kufanya ujasusi kwa niaba ya Urusi
EU yamtishia vikwazo vipya Lukashenko
Rais Alexander Lukashenko ametishiwa kukabiliwa na vikwazo vipya kutoka Jumuiya ya Umoja wa Ulaya
Taarifa ya Habari ya Asubuhi 03.08.2021
Marekani na Uingereza zalituhumu kundi la Taliban kwa uhalifu wa kivita. Umoja wa Mataifa waikosoa Myanmar kuhusu demokrasia. Mahakama ya juu kabisa ya Israel yaahirisha uamuzi wa kufukuzwa Wapalestina kutoka Jerusalem Mashariki.
China yakosoa mpango wa kodi ya kaboni ya Umoja wa Ulaya
China inasema Umoja wa Ulaya unataka kuyageuza masuala ya mazingira kuwa biashara.
Mahujaji elfu 60 wakusanyika Mlima Arafat
Mahujaji elfu 60 wakusanyika Mlima Arafat
EU yaidhinisha mpango wa uokozi kukabiliana na COVID-19
Umoja wa Ulaya umeidhinisha mpango wa kuufufua uchumi uliowasilishwa na nchi 12 zilizoathiriwa na COVID-19.
Dedan Kimathi: shujaa wa uhuru wa Kenya
Dedan Kimathi alikuwa kiongoni wa Mau Mau, vuguvugu la kupigania uhuru wa Kenya, kutoka kwa mkoloni wa Uingereza.
EU yaikosoa Hungary kuhusu sheria ya mashoga
Umoja wa Ulaya yaikosoa Hungary kuhusu sheria ya mashoga
Iran yasema itaanza kurutubisha madini ya Urani
Mazungumzo juu ya kufufua mkataba wa nyuklia yaliyofanyika mjini Vienna, Austria yalikwama mwezi uliopita.
Uingereza kuhamisha tembo hadi Kenya
Uingereza kuhamisha tembo hadi Kenya
Ujerumani kulegeza masharti kwa wasafiri kutoka Uingereza
Ujerumani itaendelea kuweka masharti makali ya udhibiti kwa nchi kadhaa za Afrika na Amerika ya Kusini.
Uingereza kulegeza sheria kuhusu corona
Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson anatarajiwa kutangaza mipango ya kuondoa sheria za kudhibiti maambukizo ya corona
Mashabiki uwanjani Wembley na virusi vya corona
Mashabiki uwanjani Wembley na virusi vya corona
Merkel asema ana wasiwasi na idadi ya mashabiki viwanjani
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amefanya mazungumzo wa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson.
Merkel kuhutubia baraza la mawaziri wa Uingereza
Merkel pia anatarajiwa kukutana na Malkia Elizabeth wa Pili katika kasri la Windsor baadaye leo mchana
WHO yasema maambukizi ya corona yaongezeka tena Ulaya
Maambukizi hayo yanayotokana na virusi hatari vya aina ya Delta vinavyoenea kwa haraaka duniani kote.
Marekani na Uingereza zataka mjadala wa wazi kuhusu Tigray
Marekani, Ireland, Uingereza mkutano wa wazi kuhusu Tigray
Kenya ingali inasubiri kurudishwa kwa ngoma ya Wapokomo Ngadji
Ngoma 'takatifu' ya Ngadji ya jamii ya Wapokomo kutoka Kenya, ilichukuliwa na maafisa wa kikoloni zaidi ya miaka 100 iliyopita. Hadi leo ngoma hiyo ingali inahifadhiwa katika makavazi ya London Uingereza. Ni kati tu ya maelfu ya sanaa ambazo zinahifadhiwa katika makumbusho ya ughaibuni. Lakini hakuna ajuaye idadi kamili ya vitu vinavyochukuliwa na hata mahali viliko kwa sasa.
Ujerumani kupepetana na England
Ujerumani ilikuwa iko hatarini kutolewa kwenye michuano ya kuwania ubingwa wa Ulaya katika Kundi F hapo Jumatano hadi ki
Mtambo wa umeme wa nyuklia nchini Iran wafungwa kwa dharura
Mtambo huo umekuwa unakabiliwa na matatizo mnamo miezi ya hivi karibuni na hitilafu imetokana na kukosekana vipuri.
Biden akutana na viongozi wa Umoja wa Ulaya
Rais Joe Biden wa Marekani anatafuta uungwaji mkono wa Umoja wa Ulaya ili kukabiliana na vitisho kutoka Urusi na China.
G7: Viongozi kuongeza fedha za kukabiliana na hali ya hewa
Watetezi wa mazingira nchini Uingereza wasema wamechoshwa na ahadi upepo.
Mataifa ya G7 yajadili kupambana na China kiuwekezaji
Mataifa ya G7 yajadili njia ya kupambana na mpango wa uwezekani wa kupambana na upanuzi wa China.
Mkutano wa G7 waanza nchini Uingereza
Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema mkutano wa G7 ni "nafasi muhimu" ya kulishinda janga la Covid-19.
Mkutano wa G7 unaanza mjini Cornwall
Mkutano wa kilele wa kundi la mataifa tajiri la G7 unaanza katika mji wa mwambao wa Cornwall nchini Uingereza.
Biden azuru Uingereza
Rais wa Marekani Joe Biden amefanya ziara yake ya kwanza kama rais kwa kuzuru Uingereza kukutana na mwenyeji wake Boris Johnson lakini pia na wakuu wa nchi wanachama wa G7. Anatarajiwa kutangaza mchango wa dozi milioni 500 ya chanjo dhidi ya COVID.19.
Biden, Johnson wakutana kwa mkataba mpya
Ireland ya Kaskazini inayatikisa mahusiano maalum na ya kijadi kati ya Uingereza na koloni lake la zamani, Marekani.
Mabalozi wa Umoja wa Ulaya na Uingereza ziarani Kigoma
Mabalozi kutoka nchi 6 za umoja wa Ulaya na Uingereza wamefanya ziara ya siku nne mjini KIgoma,Tanzania na wamekutana na wakimbizi wa Burundi na Congo wanaoishi kwenye kambi ya Nyarugusu.
Mawaziri wa afya wa G7 wakutana Uingereza
Mawaziri wa Afya wa kundi la mataifa tajiri la G7 wanakutana Alhamisi mjini Oxford kuzungumzia chanjo za COVID-19
EU huenda ikatuma ujumbe wa kijeshi Msumbiji katika ijayo
Josep Borell amesema huenda ikauchukuwa Umoja huo miezi kadhaa kupelekea ujumbe wa mafunzo ya kijeshi nchini Msumbiji.
EU yataka faini kubwa mahakamani katika kesi ya AstraZeneca
EU yataka faini kubwa mahakamani katika kesi ya AstraZeneca
Viongozi wa EU waridhia kibali cha COVID-19 kwa usafiri
Kibali cha kidijitali kuepusha wasafiri dhidi ya kuwekwa karantini katika nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya
Uingereza na 'homa' ya baada ya BREXIT
Baada ya Uingereza kukamilisha mchakato wa Brexit ulioiondoa katika umoja wa Ulaya, inakabiliwa na homa nyingine ya mgawanyiko, mara hii ndani ya mipaka yake yenyewe. Homa hiyo inatokana na sauti zinazozidi kupazwa katika eneo la Scotland. Andamana na Daniel Gakuba katika makala ya Mwangaza wa Ulaya ufahamu zaidi.
Chama cha upinzani Uingereza,Labour,chaingia kwenye mpasuko
Kiongozi wa chama Keir Starmer amfukuza mwenyekiti Angela Rayner kufuatia matokeo mabaya ya uchaguzi
Wavuvi wa Ufaransa waandamana dhidi ya hatua za Uingereza
Meli za kivita za Uingereza na Ufaransa zimepiga doria kwenye kisiwa cha Jersey, kufuatia maandamano ya wavuvi.
Mataifa ya G7 yaungana kujadili vitisho vya ulimwengu
Mataifa ya G7 yangana kujadili vitisho vya ulimwengu
Ujerumani kukamilisha chanjo kwa makundi maalumu ifikapo Juni
Serikali ya Ujerumani imeahidi kukamilisha hatua ya kuwapa chanjo makundi maalumu ifikapo Juni.Kansela wa Ujerumani Angela Merkel alisema hatua hiyo haimaanishi kwamba kila mtu atakuwa amechanjwa, lakini kila mtu anaweza kuomba fursa ya kuchanjwa. Na wataweza kuipata kwa zingatio la usambazaji wake.
Matumizi ya kijeshi yaongezeka duniani
Matumizi ya kijeshi yaongezeka duniani
10.04.2021 - Matangazo ya Jioni
Jeshi la Uingereza leo limefyetua mizinga 41 ya heshima kumkumbuka Mwanamfalme Phillip aliyefari jana.
Mwanamfalme Philip afariki na miaka 99
Viongozi mbalimbali ulimwenguni wanaendelea kutuma salamu za rambirambi kwa Malkia Elizabeth wa II wa Uingereza
Uturuki yailaumu EU von der Leyen kukosa kiti mkutanoni
Uturukiimeilaumu EU kwa mpangilio wa ukaaji uliomkosesha kiti Rais wa halmashauri kuu ya Ulaya Ursula von der Leyen
Balozi wa Myanmar nchini Uingereza atimuliwa ofisini
Maandamano yanazidi kushika kasi baada ya mapinduzi ya kijeshi
Waasi watishia kulipiza kisasi Myanmar
Idadi ya waliokufa katika ukandamizaji wa jeshi la Myanmar dhidi ya waandamanaji imepita watu 500.
Waandamanaji zaidi wauawa nchini Myanmar
Jenerali Min Aung Hlaing, aliyetwaa mamlaka, ameahidi kuitisha uchaguzi mpya lakini amewaalani waandamanaji.
Wanaharakati watoa wito wa maandamano zaidi Myanmar
Wanaharakati nchini Myanmar wametoa wito kufanyike maandamano makubwa zaidi wikendi hii.
Matumaini ya kufufua mazungumzo ya nyuklia yazidi kudidimia
Wanadiplomasia wasema Iran imeweka msimamo mkali kabla ya kurudi kwenye mazungumzo hayo.
EU kukaza masharti ya kuuza chanjo za COVID-19
EU yatafakari kupiga marufuku uuzaji wa chanjo zilizotengenezwa ndani ya umoja huo nje.
Maoni: Chanjo ya AstraZeneca isiondolewe kabisa
Nchi zinakuwa waangalifu zinapozuia chanjo ya COVID-19 ya AstraZeneca, lakini hilo halimaanishi chanjo hiyo sio salama.
Taarifa ya Habari ya Asubuhi Afrika Mashariki
Wakaazi wa vitongoji vya mji mkuu wa Myanmar, Yangon, wayakimbia makazi yao/ Umoja wa Mataifa waonya mzozo wa Yemen waendelea kushika kasi huku taifa hilo likitumbukia katika baa la njaa/ Na Niger leo yaanza maombolezo ya kitaifa kufuatia mauaji ya watu 58.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 21 wa 50
Ukurasa unaofuatia