Msichana jasiri wiki hii inamulika juhudi zinazofanywa na binti Ilakiza katika uhamasishaji wa kutunza mazingira nchini Tanzania. Anawaelemisha vijana wenzake kuhusu athari za mabadiliko ya tabianchi, uchafuzi wa mazingira, na umuhimu wa kuhifadhi vyanzo vya maji na misitu. #msichanajasiri #vijana #mazingira #tabianchi #tanzania