You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Picha: Bistum Münster
Bado Tupo: Maisha ya wazee
Jifunze mengi kuhusu maisha ya wazee
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Daktari anaedaiwa kuwaua wagonjwa wazee achunguzwa Ujerumani
Daktari anaedaiwa kuwaua wagonjwa wazee achunguzwa Ujerumani
"Uchunguzi na ufukuaji wa maiti tayari umefanywa na majibu yanatarajiwa kutolewa ndani ya wiki kadhaa zijazo.
UNICEF: Hali itakavyokuwa kwa watoto katika mwaka 2050
UNICEF: Hali itakavyokuwa kwa watoto katika mwaka 2050
UNICEF yaonya mabadiliko ya idadi ya watu, hali ya hewa na teknolojia yanatishia mustakabali wa vijana.
Umasikini unavyowatesa wastaafu Germany
Umasikini unavyowatesa wastaafu Germany
Mstaafu mmoja kati ya watano nchini Ujerumani anakabiliwa kuwa katika hatari ya umasikini, kulingana na ofisi ya takwimu ya Ujerumani. Idadi ni kubwa zaidi hasa kwa upande wa wanawake
Ujerumani yakataa mtihani wa ujuzi kwa madereva wazee
Ujerumani yakataa mtihani wa ujuzi kwa madereva wazee
Mitihani ya ujuzi wa udereva kwa wazee nchini Ujerumani ni suala la hiari. Je, hiyo inaweza kuwa hatari ya kiusalama?
Trump na Biden: Wagombea 2 wazee wawania wapigakura vijana
Trump na Biden: Wagombea 2 wazee wawania wapigakura vijana
Je, umri wa Biden na Trump una jukumu katika uchaguzi wa raiswa Marekani, na wanaweza kuwavutia kwao wapigakura vijana?
MAONI: Changamoto zinazowakumba wazee
MAONI: Changamoto zinazowakumba wazee
Meza inayojadiliwa mbele ya Meza ya duara katika kipindi cha Maoni safari hii ni changamoto zinazowakumba wazee. Je wapo katika nafasi gani katika jamii? Je jamii inawatunza kwa kiasi gani? Je mabadiliko katika jamii yanawapeleka vipi? Pamoja na mambo mengine ungana na nahodha wa kipindi Saumu Mwasimba akiwashirikisha baadhi ya wazee.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Siku ya kimataifa ya kutokomeza manyanyaso kwa wazee
Siku hii huadhimishwa ili kuhamasisha ulimwengu kuwajali wazee ambao hukabiliwa na changamoto lukuki.
Maudhui yote (81) kwenye mada hii