You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
App
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Watu 30 wakamatwa kwa magendo ya binaadamu Uingereza
Zaidi ya watu 30 wametiwa nguvuni nchini Uingereza kufuatia msako dhidi ya magenge yanayosafirisha watu kwa magendo.
Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi ya 23 Sept. 2024
Sikiliza Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi ya 23 Sept. 2024 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW.
Wafuasi wa rais wa zamani na wa sasa wapambana Bolivia
Wafuasi wa serikali na maafisa wa usalama wa Bolivia wamepambana na wafuasi wa rais wa zamani, Evo Morales.
Hofu ya mzozo wa Mashariki ya Kati kusambaa bado yatawala
Mamlaka za Ukanda wa Gaza zimesema watu 22 wameuawa kwenye shambulizi la kombora la Israel lililoilenga shule.
Umoja wa Ulaya waipatia Ukraine mkopo wa mabilioni
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen ametangaza mpango wa kuipatia Ukraine mkopo wa mabilioni.
20.09.2024 - Matangazo ya Jioni
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen ametangaza mpango wa kuipatia Ukraine mkopo wa dola bilioni 39+++Wanaharakati wa mazingira wamekusanyika hii leo katika miji kadhaa duniani kote kwa maandamano ya Ijumaa ya kushinikiza hatua zaidi za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.
Hizbullah, Israel washambuliana vikali
Israel nayo imefanya kile inachosema ni mashambulizi yenye shabaha maalum katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut.
Watoto milioni sita waathiriwa na Kimbunga Yagi
UNICEF inasema Kimbunga Yagi kimewaathiri karibu watoto milioni sita katika eneo la kusini mashariki mwa Asia.
Wamahiaji 500 waokolewa karibu na Canary
Meli za uokoaji zimewaokoa wahamiaji takribani 500 karibu na visiwa vya Canary waliokuwa wakitokea barani Afrika.
Mawaziri wa nishati wa G7 kujadili miundombinu ya Ukraine
Mawaziri wa nishati wa nchi za G7 watakutana Jumatatu kujadili miundombinu ya nishati ya umeme ya Ukraine.
20.09.2024 - Matangazo ya Mchana
Kiongozi wa wanamgambo wa Hezbollah Hassan Nasrallah ameahidi kulipa kisasi baada ya mashambulizi kupitia vifaa vya mawasiliano vya wanamgambo wake nchini Lebanon+++Kituo cha udhibiti wa magonjwa barani Afrika CDC kimesema chanjo za ugonjwa wa homa Mpox zimeanza kutolewa barani Afrika
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Yaliyozingatiwa kwenye magazeti ya Ujerumani juu ya Afrika wiki hii ni pamoja na mzozo uliozuka kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya Kongo kukusudia kuwachukua wanyarwanda sita waliokuwa na hatia ya mauaji ya kimbari baada ya kutumikia vifungo jela. Jumuiya ya kimataifa inageukia kwingine wakati vita vinaendelea nchini Sudan. Mtayarishaji Zainab Aziz.
Raia watatu waliotekwa maandamano ya Gen-Z Kenya waachiliwa
Raia watatu waliotekwa wakati wa maandamano ya vijana wa Gen-Z nchini Kenya wameachiliwa huru.
Bunge la Ulaya lamtambua Gonzalez rais halali Venezuela
Bunge la Ulaya limemtambua mgombea wa upinzani wa Venezuela, Edmundo Gonzalez Urrutia, kuwa rais halali wa nchi hiyo.
Von der Leyen aizuru Ukraine kujadili usalama wa nishati
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen ameitembelea Ukraine kujadili usalama wa nishati.
Takbrini watu 300 wafariki kwa Kimbunga Yagi
Waliofariki kutokana na kimbunga Yagi nchini Myanmar wamefikia watu 293, huku wengine 89 wakiwa hawajulikani walipo.
Wakimbizi Afrika Magharibi, Kati wafikia milioni 14
Watu waliolazimishwa kuyahama makaazi yao Afrika Magharibi na Kati imeongezeka maradufu na kufikia milioni 14.
Misri kurejea kuchimba gesi asilia
Misri imetangaza kuanzisha tena uchimbaji wa gesi asilia ambayo inategemewa kwa kiasi kikubwa ili kuzalisha umeme.
Coca-Cola kuwekeza dola bilioni 1 Nigeria
Kampuni ya Coca-Cola inapanga kuwekeza dola bilioni 1 katika kipindi cha miaka mitano ijayo nchini Nigeria.
Rwanda yaanza chanjo ya Mpox
Rwanda imeanza kutoa chanjo ya ugonjwa wa Mpox kwa watu 300 kwenye mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
20.09.2024 - Matangazo ya Asubuhi
Ujumbe wa serikali ya Ukraine uko ziarani Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mji wa Bukavu ambapo umefika kubadilishana fikra na Dk Denis Mukwege+++Mwanasiasa aliyezaliwa Kameruni, Bi. Adeline Abimnwi Awemo, kutoka chama cha Christian Democrat Union, CDU, ndiye mgombea pekee mwenye asili ya Kiafrika kwenye uchaguzi wa jimbo la Brandenburg
19.09.2024 - Matangazo ya Jioni
Israel imeshambulia ngome za wanamgambo wa Hezbollah Kusini mwa Lebanon+++Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) leo kimetoa ripoti inayothmini hali ya demokrasia nchini Tanzania+++Masomo katika vyuo vikuu vya umma nchini Kenya yamekatizwa kutokana na mgomo wa kitaifa wa wahadhiri
19.09.2024 - Matangazo ya Mchana
Awamu mpya ya pili ya mashambulizi ya kielektroniki imeitikisa tena Lebanon na imesababisha vifo vya watu 20+++Wanaharakati, wachambuzi na wadau wa siasa nchini Tanzania, wametoa maoni yao kuhusu kamatakamata ya viongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani Chadema
19.09.2024 - Matangazo ya Asubuhi
Hali ya usalama nchini Mali bado ni tete baada ya waasi kushambulia chuo kimoja cha mafunzo ya kijeshi mjini Bamako +++Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kampuni ya ugavi wa maji ya kunywa mjini Bukavu, REGIDEZO inasema kwamba inashindwa kusambaza kwa wingi maji ya kunywa kutokana na kukauka kwa kiasi kikubwa kwa vyanzo vya maji.
19.09.2024 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Sikiliza Taarifa ya Habari za Ulimwengu Septemba 19, 2024 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW, Bonn.
18.09.2024 Matangazo ya Jioni
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Blinken ataka usitishaji vita Gaza ili kukomesha machafuko/ Shirika hilo limesema makundi hayo yanaua wanavijiji, watu waliokimbia makazi yao pamoja na waumini wa Kikristo
HRW: Makundi yenye itikadi kali yanawaua raia Burkina Faso
Shirika hilo limesema makundi hayo yanaua wanavijiji, watu waliokimbia makazi yao pamoja na waumini wa Kikristo.
18.09.2024 Matangazo ya Mchana
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Hezbollah yaapa kulipa kisasi mashambulizi dhidi ya Lebanon/ Kundi la itikadi kali ladai kuhusika na mashambulizi, Mali
18.09.2024 Matangazo ya Asubuhi
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mafuriko ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika nchi za Nigeria, Cameroon, Niger, Chad, Mali, Ghana na Liberia yamesababisha majanga ya kibinadamu/ Jumla ya mataifa 134 yanayowakilisha asilimia 98 ya uchumi duniani kote yanafikiria juu ya uwezekano wa kutumia sarafu za kidijitali
18.09.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Kwenye Taarifa ya Habari asubuhi ya leo utasikia juu ya mkasa wa kulipuka vifaa vya mawasiliano huko Lebanon na kusababisha vifo vya watu 9 na maelfu kujeruhiwa. Rais Joe Biden wa Marekani aziomba pande zinazozozana nchini sudan kurejea kwenye mazungumzo ya amani na Venezuela yamkamata raia wa 7 wa kigeni kwa madai ya kula njama za kumuua Rais Nicolas Maduro.
17.09.2024 - Matangazo ya Jioni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amelitaka jeshi la polisi nchini humo kuendelea kusimamia maadili ya askari, akisema halipaswi kuhusika au kuhisishwa katika ukiukaji wa haki za sheria+++Viongozi wa vyama vya kihafidhina nchini Ujerumani vya CDU na CSU wamemteua kiongozi wa chama cha CDU, Friedrich Merz, kugombea wadhfa wa kansela wa Ujerumani
Viongozi Asia ya Kati waitaka Ujerumani kuwatambuwa Taliban
Viongozi kadhaa wa mataifa ya Asia ya Kati wameishauri Ujerumani kurejesha mahusiano na utawala wa Taliban.
17.09.2024 Matangazo ya Mchana
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Watu 18 wafariki dunia kutokana na mafuriko barani Ulaya/ Kituo cha mafunzo ya kijeshi Mali chashambuliwa
Demokrasia yashuka ulimwenguni - IDEA International
Idadi ya wapigakura inazidi kushuka na matokeo ya chaguzi yanazidi kutiliwa mashaka katika nchi mbalimbali ulimwenguni.
17.09.2024 Matangazo ya Asubuhi
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa halmashauri kuu ya Ulaya Ursula von der Leyen ameahidi kumtaja mkuu wa ulinzi kama sehemu muhimu ya timu yake kuu/ Ripoti mpya shirika la kuwasaidia watu wasio na mahala pa kuishi nchini Ujerumani la BAGW imebainisha kuwa, karibu humusi ya watu wasio na makazi ni wenye umri chini ya miaka 25
17.09.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Ungana nasi hapa kusikiliza taarifa ya habari asubuhi ya leo: Uingereza yatumia fedha za mpango wa uhamiaji kulipia teknolojia mpya ya kupambana na magenge ya biashara haramu ya binaadamu. Rais wa Urusi Vladimir Putin ameongeza ukubwa wa jeshi la nchi hiyo Na Idara ya Usalama nchini Marekani kukabiliwa na uchunguzi mpya baada ya jaribio la pili la kuuawa Donald Trump
16.09.2024 Matangazo ya Jioni
16.09.2024 - Matangazo ya Mchana
Baraza la Maaskofu nchini Tanzania, TEC, limekemea matukio ya utekaji na mauaji ambayo yamekuwa yakíendelea kushuhudiwa+++Mtu mmoja amekufa na wengine saba hawajulikani walipo katika Jamhuri ya Czech baada ya kuzuka kwa mafuriko yaliyochochewa na kimbunga Boris
16.09.2024 - Matangazo ya Asubuhi
Katika matangazo yetu ya asubuhi hii utasikia makala zetu za Mbiu ya Mnyonge, Makala yetu Leo, Mtu na Mazingira, Vijana Tugutuke na Jukwaa la manufaa.
16.09.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Ungana nasi hapa kusikiliza Taarifa ya habari ya asubuhi ya leo ambapo habari kubwa miongoni mwa nyingine ni Mgombea wa urais nchini Marekani Donald Trump alengwa na kile ambacho shirika FBI limesema ni jaribio la mauaji: Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine alalama kwamba wanajeshi wake wamepungukiwa silaha: Na Rais William Ruto wa Kenya ajigamba kufanya makubwa katika utawala wake wa miaka miwili.
Ruto atetea rikodi ya uongozi wake wa miaka miwili
Rais William Ruto wa Kenya ametetea rikodi yake ya miaka miwili madarakani katika mahojiano maalumu na DW.
Matangazo ya Jioni: 15.09.2024
Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesisitiza kuwa nchi yake haitapeleka makombora ya masafa marefu aina ya Taurus nchini Ukraine. Netanyahu aapa kulipiza kisasi kwa Wahouthi baada ya shambulio la Kombora kuilenga Israel. Watu kadhaa wamekufa kutokana na mafuriko Ulaya ya kati
Matangazo ya Mchana: 15.09.2024
Jeshi la Israel lasema limefanikiwa kuzuia kombora la masafa marefu lililorushwa kuelekea mji wa Tel Aviv likitokea Yemen Jumapili asubuhi. Urusi na Ukraine zashambuliana kwa droni usiku kucha. Watu 18 wameuwawa katika shambulio la kigaidi nchini Somalia
Watu 37 wahukumiwa kifo kwa jaribio la mapinduzi DRC
Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iliwahukumu kifo watu 37, wakiwemo raia watatu wa Marekani.
13.09.2024 - Matangazo ya Jioni
Chama tawala nchini Tanzania, CCM, kimesema kinataka kuona wimbi la vitendo vya utekaji linalokwenda sambamba na mauaji ya raia linamalizika kwa njia ya utulivu na maelewano na siyo kama hatua iliyotangazwa na chama kikuu cha upinzani+++Mamlaka za Ujerumani zimesema zimemkamata kijana mwenye miaka 27 raia wa Syria anayetuhumiwa kupanga shambulio dhidi ya wanajeshi kwa kutumia mapanga.
Msyria mbaroni kwa kutaka kuwauwa wanajeshi Ujerumani
Kijana mwenye miaka 27 raia wa Syria anayetuhumiwa kupanga shambulio dhidi ya wanajeshi amekamatwa Ujerumani.
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Yaliyozingatiwa kwenye magazeti ya Ujerumani juu ya Afrika wiki hii nji pamoja na msaada wa dola bilioni 1.3 kwa Misri uliotolewa na Marekani bila ya kufungamanishwa na hali ya haki za binadamu. Juu ya mvutano baina ya Somalia na Ethiopia kuhusu maji. Ziara ya Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeir nchini Misri. Mtayarishaji ni Zainab Aziz.
Rais wa Senegal atangaza kulivunja bunge
Kiongozi wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ametangaza kulivunja bunge la nchi hiyo lenye wapinzani wengi.
13.09.2024 - Matangazo ya Mchana
Jeshi la polisi nchini Tanzania limeyapiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanywa na chama kikuu cha upinzani nchini humo, Chadema, siku ya Septemba 23+++Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye amelivunja bunge la nchi hiyo lenye idadi kubwa ya wabunge wa upinzani.
Oumilkheir atutembelea baada ya miaka minne alipostaafu
Unamkumbuka Oumilkheir? Najua wafuatiliaji wetu wengi "wanaimiss" sauti yake adhimu enzi hizo akiwa nasi hapa Idhaa ya Kiswahili. Baada ya miaka kadhaa tangu alipostaafu, Bi Oumi, kama hapa tulivyopenda kumuita ametutembelea, na kupata fursa ya kuzungumza na mwenzetu John Juma.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 32 wa 152
Ukurasa unaofuatia