You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
App
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
10.01.2025 Matangazo ya Mchana
Nchini Tanzania jeshi la polisi limethibitisha kumshikilia Dk. Wibroad Slaa+++Watu wasiopungua 10 wamefariki dunia kwenye moto wa msituni unaoteketeza maeneo ya Los Angeles jimbo la California nchini Marekani+++Rekodi zinaonesha mwaka uliopita wa 2024 ulikuwa mwaka wa kwanza kamili duniani kuwa na ongezeko la joto
10.01.2025 Matangazo ya Asubuhi
Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, anaapishwa hii leo kwa muhula wa tatu+++Joto la kisiasa ndani ya chama kikuu cha upinzani cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA linazidi kupanda huku zikiwa zimebaki siku 10
10.01.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Rais mteule wa Marekani Donald Trump ataka viongozi wa upinzani Venezuela walindwe huku rais Nicholas Maduro akiapishwa leo. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron azungumza na waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer kuhusu Ukraine na Mashariki ya Kati. Na China yaahidi kulisaidia bara la Afrika na msaada wa kijeshi.
Maduro kuapishwa kwa muhula wa tatu madarakani
Polisi walijitokeza kwa wingi katika mji mkuu Caracas huku upinzani ukiandaa maandamano kupinga kuapishwa Maduro.
09.01.2025 Matangazo ya Jioni
Rais wa Rwanda Paul Kagame ameilaumu jumuiya ya kimataifa ambayo hadi sasa kwa kauli yake imeshindwa kuutatua mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo+++Bunge nchini Lebanon limepiga kura hivi leo na kumuidhinisha kamanda Jenerali Joseph Aoun kuwa rais mpya wa taifa hilo.
09.01.2025 Matangazo ya Mchana
Nchini Chad watu wenye silaha walivamia makazi ya rais katika mji mkuu wa nchi hiyo, N'Djamena, katika mapigano yaliyosababisha vifo vya watu 19+++Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Msumbiji, aliyekuwa mgombea wa kiti cha urais, Venancio Mondlane amerejea nchini humo.
09.01.2025 Matangazo ya Asubuhi
Bunge la Lebanon linatarajiwa kumchagua rais mpya leo+++Watu 67 wamefariki dunia nchini Rwanda kwa nyakati tofauti kutokana na ugonjwa wa malaria+++Kampuni ya Meta imetangaza kusitisha sera yake ya kuhakiki maudhui yanayochapishwa katika mitandao yake kwa nchini Marekani.
09.01.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Watu 13 wameuwawa katika mji wa Zaporizhzhya kusini mwa Ukraine. Watu 19 wauliwa katika makabiliano makali katika ikulu ya rais nchini Chad. Na Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter kuzikwa Georgia.
08.01.2025 Matangazo ya Jioni
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken, yuko ziarani nchini Ufaransa kwa mazungumzo kuhusu hali ya Mashariki ya Kati/ Venezuela iko katika harakati za kujiandaa kwa maandamano yanayoiunga mkono na kuipinga serikali kesho Alhamisi
08.01.2025 Matangazo ya Mchana
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, amezuwa mjadala mkali kimataifa baada ya kutaja uwezekano wa kuuchukuwa Mfereji wa Panama, kisiwa cha Greenland na kuigeuza Canada kuwa jimbo la 51 la Marekani/ Kiongozi wa RSF, Mohammed Daglo awekewa vikwazo
Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi 8 Januari 2025
Sikiliza Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi 8 Januari 2025 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW.
Matangazo ya Dunia Yetu Leo Asubuhi 8 Januari 2025
Sikiliza Matangazo ya Dunia Yetu Leo Asubuhi 8 Januari 2025 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW.
Trump akosolewa kwa kuashiria kuzitwaa Greenland, Canada
Trump ametowa kauli hiyo chini ya wiki mbili kabla ya kuapishwa rasmi kurejea kwenye Ikulu ya Whitehouse.
Maduro atangaza kukamatwa 'mamluki' wakiwemo Wamarekani
Maduro ametangaza kukamatwa kwa wale aliowaita "mamluki" saba, wakiwemo raia wawili wa Marekani.
Umoja wa Ulaya waituhumu Urusi kwa kutumia gesi kama silaha
Umoja wa Ulaya umeituhumu Urusi kwa kutumia "gesi kama silaha" na kuanzisha vita vya kila upande nchini Moldova.
Jeshi la Uingereza liliuwa kwa makusudi Afghanistan
Wanajeshi wa kikosi maalum cha Uingereza nchini Afghanistan wamesema raia wa Kiafghani wasiokuwa na hatia waliuawa.
RSF imefanya mauaji ya kimbari - Marekani
Marekani imesema kikosi cha RSF kinahusika na mauaji ya kimbari na imetangaza vikwazo dhidi ya kiongozi wa kundi hilo.
Umoja wa Mataifa wataka dola milioni 371.4 kwa Lebanon
Umoja wa Mataifa na serikali ya Lebanon zimeomba dola milioni 371.4 za ziada kwenye msaada wa kibinaadamu.
Urusi, Ukraine zaendelea kukabiliana vikali Kursk
Ukraine ilianzisha operesheni mpya katika eneo hilo, ikithibitisha mashambulizi dhidi ya kituo cha kamandi ya Urusi.
07.01.2025 - Matangazo ya Jioni
Jeshi la Ukraine limesema bado linashikilia sehemu ya Kurakhove+++Kwa mara nyingine Marekani imeituhumu Urusi kuwa inazifadhili pande mbili zinazopigana huko Sudan+++mchakato wa kuendesha kesi dhidi ya mwanasiasa mkosoaji mkuu wa utawala Dkt Kizza Besigye zimeishia katika hukumu ya miezi tisa kwa mmoja wa mawakili wake
07.01.2025 Matangazo ya Asubuhi
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Zaidi ya watu milioni 30, nusu miongoni mwao wakiwa ni watoto wanahitaji msaada wa haraka nchini Sudan/ Jimmy Carter aliyefariki, alikuwa rais wa kwanza wa Marekani kufanya ziara ya kiserikali katika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara barani Afrika
07.01.2025 Matangazo ya Mchana
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Zaidi ya watu 90 wafariki kufuatia tetemeko la ardhi huko Tibet/ Marekani imeishutumu Urusi kwa kufadhili pande mbili zinazopigana nchini Sudan, hatua inayoonekana kusisitiza madai ya awali ya Washington kwamba Moscow imekuwa ikichochea kuendelea kwa mgogoro huo.
Chad yamshutumu Macron kwa kuwadharau Waafrika
Chad imemshutumu kwa dharau baada ya "viongozi wa Kiafrika wamesahau kuishukuru Ufaransa" kwa kuwasaidia dhidi ya waasi.
Trump bado anakabiliwa na hukumu ya kumlipa kahaba
Trump bado anakabiliwa na uwezekano wa kuhukumiwa wiki hii kwenye kesi yake ya kumlipa kahaba.
Marekani yailaani M23 kwa kuvunja usitishaji mapigano
Marekani imelaani 'uvunjaji wa wazi wa makubaliano ya kusitisha mapigano' wa kundi la waasi la M23 mashariki mwa Kongo.
Korea Kaskazini yathibitisha kurusha kombora
Korea Kaskazini imethibitisha kurusha kombora la masafa ya kati lenye uwezo wa kutembea kwa kasi na kufika mbali zaidi.
Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi 7 Januari 2025
Sikiliza Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi 7 Januari 2025 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW.
Congress yathibitisha ushindi wa Trump
Uchaguzi wa Novemba 9 ulimpa Trump ushindi wa kishindo dhidi ya Kamala miaka minne baada ya kukataa kushindwa.
06.01.2025 Matangazo ya Jioni
Raia watatu wa Israel wameuawa katika eneo la Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu// Bunge la Marekani linajiandaa leo hii kumuidhinisha rasmi Donald Trump kama rais aliyechaguliwa na Wamarekani// Bilionea na mmiliki wa mtandao wa kijamii wa X, Elon Musk aliye mshirika wa karibu wa rais mteule wa Marekani Donald Trump, amezusha sitofahamu Ulaya kufuatia kauli zake zenye utata.
06.01.2025 DW Michezo
Vilabu vya Bundesliga vyaanza matayarisho ya mzunguko wa pili wa msimu // Man Utd wapunguza kasi ya mbio za ubingwa England baada ya kuwabana mbavu Liverpool // Na Yanga na Simba zajiweka katika nafasi nzuri ya kutinga robo fainali za mashindano ya vilabu Afrika
06.01.2025 Matangazo ya Mchana
Waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda siku ya Jumamosi waliuteka mji wa kimkakati huko Goma Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo// Huko Kenya vijana wanne waliodaiwa kutoweka Disemba mwaka jana wamepatikana huku wengine watatu bado hawajulikani waliko// Pazia la uchaguzi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema kwa wagombea wake kuchukua na kurejesha fomu limefungwa.
Matangazo ya Dunia Yetu Leo Asubuhi 6 Januari 2025
Sikiliza Matangazo ya Dunia Yetu Leo Asubuhi 6 Januari 2025 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW.
Taarifa ya Habari za Ulimwengu 6 Januari 2025
Sikiliza Taarifa ya Habari za Ulimwengu 6 Januari 2025 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW.
Watu zaidi ya 100 wauawa kaskazini mwa Syria
Mapigano makali yameripotiwa kati ya vikosi vya Kikurdi na vikosi vinavyoungwa mkono na Uturuki kaskazini mwa Syria.
Polisi waombwa kumkamata rais wa Korea Kusini
Jeshi la polisi limeombwa kuchukuwa jukumu la kumtia nguvuni rais aliyendolewa madarakani na bunge, Yoon Suk Yeol.
Ukraine, Urusi zapambana vikali Kursk
Kumetokea mapigano makali kwenye mkoa wa Kursk baada ya kuanzisha uvamizi wa kushitukiza magharibi mwa Urusi.
Kiongozi wa upinzani wa Msumbiji atangaza kurejea nyumbani
Kiongozi wa upinzani wa Msumbiji ametangaza kwamba atarejea nchini mwake kabla ya kuapishwa kwa rais mpya.
Kongo yawanyonga watu zaidi ya 100
Wizara ya sheria ya Kongo imesema watu 102 wamenyongwa na wengine 70 wamepangiwa kupewa adhabu hiyo.
Wahafidhina Austria tayari kuunda serikali na wa siasa kali
Chama cha kihafidhina cha Austria kimesema kiko tayari kuzungumzia uundaji serikali na siasa kali za mrengo wa kulia.
Rais wa zamani wa Equador asalimika kuuawa gerezani
Makamu rais wa zamani wa Equador ameokolewa kutoka gereza alikokuwa amefungwa baada ya jaribio la mauaji dhidi yake.
Misri kupokea mkopo wa dola bilioni 1.2 kutoka IMF
Misri inatazamiwa kupokea dola bilioni 1.2 kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikiwa ni sehemu ya dola bilioni 8.
Vyanzo: Mashambulizi ya Israel yawaua zaidi ya watu 20 Gaza
Vyanzo vimesema mashambulizi ya anga ya Israel yamewaua zaidi watu 20 kwenye Ukanda wa Gaza siku ya Jumapili.
04.01.2025: Matangazo ya Jioni
Urusi yaapa kulipiza kisasi makombora ya ATACMS yaliyorushwa na Ukraine kuelekea mji wake wa Belgorod. Safari za kimataifa za ndege katika uwanja wa Damascus kuanza tena wiki ijayo. Kambi pinzani Korea Kusini zaandamana huku rais aliyeondolewa madarakani na bunge akipinga kukamatwa.
04.01.2025: Matangazo ya Mchana
Sikiliza Matangazo ya Mchana ya Idhaa ya Kiswahili ya DW
03.01.2025 Matangazo ya Jioni
Tume ya Uchaguzi nchini Burundi, CENI, imetangaza orodha ya vyama viwili pekee inavyosema vimetimiza masharti ya kuwania katika uchaguzi wa bunge na udiwani+++Malawi inakabiliwa na changamoto kubwa ya kuwalisha raia wake pamoja na maelfu ya wakimbizi waliomiminika nchini humo.
Syria: Wafungwa chini ya utawala wa Assad waachiwa huru
Maelfu walitoweka katika magereza ya Syria chini ya Bashar al-Assad, lakini sasa baadhi wanarejea na kuungana na familia
03.01.2025 Matangazo ya Mchana
Israel imefanya mashambulizi katika Ukanda wa Gaza na kusababisha vifo vya watu 50+++Mawaziri wa mambo ya kigeni wa Ufaransa na Ujerumani wanatazamiwa kukutana na kiongozi mpya wa Syria, Ahmed Al-Sharaa+++Waziri wa Ulinzi wa Ethiopia Aisha Mohammed Mussa ameitembelea Somalia.
Mawaziri wa Kigeni wa Ujerumani, Ufaransa waizuru Syria
Juhudi za mataifa ya Magharibi kuhakikisha usalama wa maslahi yao baada ya kuondoshwa madarakani Bashar al-Assad.
03.01.2025 Matangazo ya Asubuhi
Afrika itaendelea kukabiliwa na changamoto za demokrasia, umasikini, madeni, na migogoro ya silaha mwaka 2025, licha ya ukuaji mdogo wa uchumi+++Shambulio la umwagaji damu kwenye soko la Krismasi katika mji wa Magdeburg tarehe 20 Desemba, na mjadala mkali wa kisiasa uliofuatia tukio hilo, ni ishara kwamba serikali ijayo ya Ujerumani italipa kipaumbele suala la usalama
02.01.2025 Matangazo ya Jioni
Vikosi vya usalama vya Syria vinaendesha operesheni katika mji wa Homs, ikilenga watu wanaotuhumiwa kwa uhalifu wa kivita na umiliki haramu wa silaha+++Jeshi la polisi nchini Uganda limeeleza kuwa lipo tayari kutekeleza agizo la rais Yoweri Museveni la kutowapa wahalifu dhamana.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 21 wa 152
Ukurasa unaofuatia