You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
App
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
04.09.2025
4 Septemba 2025
Watu 60 wafa katika ajali ya boti nchini Nigeria
Onesha zaidi
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Jukwaa la Manufaa
Jukwaa la Manufaa
Ni wakati mwingine mzuri kwa wadau wa Jukwaa la manufaa kutoa na kuyasikia maoni yao yanayojumuisha kero dukuduku, ushauri bila kusahau pongezi kuhusu yale yote yanayojiri kwenye jamii. Nahodha jukwaani kwa wakati huu ni Angela Mdungu, ungana naye kusikiliza.
Israel yaamuru Wapalestina kuondoka Gaza City
Israel yaamuru Wapalestina kuondoka Gaza City
Jeshi la Israel limewataka Wapalestina kuondoka kwenye mji wa Gaza City na kuhamia upande wa kusini mwa Gaza.
Jishindie zawadi na DW!
Jishindie zawadi na DW!
Habari ya mjini ni mitandao,nasi huko tumejipanga sawa sawa.
Meza ya Duara: SCO na nafasi yake kwenye ulimwengu wa sasa
Meza ya Duara: SCO na nafasi yake kwenye ulimwengu wa sasa
Mohammed Khelef anaongoza mjadala juu ya nafasi na nguvu za Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO).
Dunia inakabiliwa na chaguo la amani ama vita - Xi
Dunia inakabiliwa na chaguo la amani ama vita - Xi
Putin na Kim wamefanya mazungumzo ya pande mbili, ambayo wote wameyaita yenye tija.
Njia za kukabiliana na hofu ya kujifungua kwa mara ya kwanza
Njia za kukabiliana na hofu ya kujifungua kwa mara ya kwanza
Kwa wanaojifungua kwa mara ya kwanza wakati mwengine wanakuwa na hofu kubwa ya kupitia mchakato mzima wa kujifungua. Wengi wanakuwa na uwoga baaada ya kuwasikia wanawake wengine wakizungumzia mchakato huo wa uzazi. Makala ya Afya Yako inakueleza njia za kukabiliana na hofu hiyo.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Kukosa ajira hadi kuanzisha kituo cha redio
Baada ya kumaliza masomo yake nje ya nchi mwaka 2012, Jacqueline Lawrence Mwakyambiki aliamua kuanzisha kituo cha redio.
Tanzia: Mohammed Abdulrahman, safari iliyowacha alama
Idhaa ya Kiswahili ya DW imepoteza mojawapo ya nguzo muhimu zilizoisimamisha Idhaa hii kwa miongo kadhaa.
Tigray ukingoni mwa vita vyengine nchini Ethiopia
Hayo ni licha ya mkataba wa kusitisha vita vya miaka miwili vilivyoangamiza maisha ya watu takribani nusu milioni.
Kwa nini Trump ana hofu kubwa juu ya BRICS?
Trump atishia ushuru kwa mataifa ya BRICS akihofia kuporomoka kwa dola ya Marekani huku umoja huo ukizidi kupanuka.
Kenya kupambana na unyanyasaji wa kijinsia kidijitali
Kenya yazindua kampeni ya kidijitali kupambana na ongezeko la unyanyasaji dhidi ya wanawake na wasichana.
Mlima Meru na faida zake kitamaduni
Mlima Meru ulipo Arusha, Tanzania, una umuhimu mkubwa wa kitamaduni, na ni sehemu ya historia kwa jamii ya Wameru.
Maudhui yote (7568) kwenye mada hii