Matangazo
Lema ambaye kwa miaka 10 iliyopita alikuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini, kaskazini ya Tanzania alishindwa kutetea kiti chake katika uchaguzi uliofanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba
Rashid Chilumba amezungumza na Roland Ebole afisa mwandamizi wa shirika la haki za binadamu la Amnesty International linalofuatilia taarifa za kuzuiwa kwa Lema na kwanza amemuuliza iwapo wanafahamu alipo mwanasiasa huyo hivi sasa.