You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Allied Democratic Forces
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
ICC yawasilisha ushahidi dhidi ya Joseph Kony
Kony anaandamwa na mashtaka kadhaa ya uhalifu dhidi ya binadamu na uhalifu wa kivita kama mauaji na utumwa wa kingono
UN yasema kundi la M23 limetenda uhalifu wa kivita DR Kongo
Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema M23 wamewaua watu kiholela, wamewatesa na pia wamewateka nyara
M23 na Vikosi vya Kongo washutumiwa kwa uhalifu wa kivita
Kanda ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayopakana na Rwanda ni eneo lenye rasilimali na utajiri mkubwa
Juhudi za kumaliza mzozo wa Kongo na Rwanda zaimarika
Kumekuwa na hatua kadhaa za kidiplomasia ya kuumaliza mzozo kati ya Rwanda na Kongo ambazo hazijafanikiwa
GERD: Mafanikio kwa Ethiopia, lakini hofu kwa Misri na Sudan
Mradi mkubwa zaidi wa umeme wa maji barani Afrika unakaribia kuanza kazi.
Wasiwasi wazidi kuongezeka katika mji wa Uvira, DRC
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hali inaendelea kuwa ya wasiwasi katika mji wa Uvira
Wafanyakazi 19 wa UN wanashikiliwa na waasi wa Kihouthi
Umoja wa Mataifa umesema wafanyakazi wa mashirika yake wanaoshikiliwa na waasi wa Kihouthi ni watu 19.
Waasi wa Houthi wavamia ofisi za UN, wateka wafanyakazi
Mjumbe maalum wa UN kwa Yemen Hans Grundgerg amelaani wimbi jipya la utekaji wa wafanyikazi wa Umoja wa Mataifa.
Trump apingwa baada ya kudai kuvimaliza vita vya Kongo
Mapigano yanaendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo licha ya juhudi za kumaliza vita
Watu wanane wapoteza maisha kutokana na mapigano makali DRC
Mapigano hayo yanadaiwa kuanza kutokana na mabishano yaliyopamba moto tangu Jumatatu baina ya serikali na waasi hao.
Uganda: Upinzani wakosoa makubaliano ya kupokea wahamiaji
Bado haijulikani wazi ni faida gani hasa mamlaka za Uganda zinapata kwa kukubali wahamiaji wanaofukuzwa Marekani.
Serikali ya DRC na waasi wa M23 warudi Doha
-
M23 yaishtumu serikali kutumia mamluki kushambulia ngome zao
Uwepo wa mamluki umeibua mjadala mpana kuhusu ushiriki wa wapiganaji wa kigeni katika mzozo wa Kongo.
Uganda yawinda nusu fainali kwa kumenyana na Senegal
Uganda wanatarajiwa kupewa msukumo na mashabiki wa nyumbani katika dimba la Mandela mjini Kampala.
Waendesha mashitaka Kongo wataka Kabila ahukumiwe kifo
Chama cha Kabila cha PPRD, chalalamika kuwa kiongozi wao anafanyiwa maonevu ya kisiasa
Mvutano wa mipaka ya maji kati ya Kenya na Uganda watokota
Kenya na Uganda yalitia saini jumla ya makubaliano 8 ikiwemo ya uvuvi na masuala jumla ya Ziwa na viumbe wa majini
18 wauwawa Colombia, waasi wa FARC wahusishwa na mauaji hayo
Yapata watu 18 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa baada ya mashambulizi mawili nchini Colombia yanayodai
Uganda yaafikiana na Marekani kuwachukua wahamiaji haramu
Rais wa Marekani, Donald Trump analenga kuwafukuza mamilioni ya wahamiaji wanaoishi nchini humo bila vibali halali
Uganda yakubali kuwapokea waliokosa hifadhi Marekani
Trump analenga kuwafukuza mamilioni ya wahamiaji wanaoishi nchini Marekani bila vibali halali.
Maeneo ya waasi kurudishwa chini ya udhibiti wa serikali DRC
Pendekezo la makubaliano ya amani kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono n
Makundi ya haki yawashtumu waasi wa M23 kwa maasi Kongo
Mashirika ya kutetea haki za binadamu leo yamewashtumu wanamgambo wa M23 kwa unyanyasaji mashariki mwa Kongo.
Uganda yakanusha makubaliano na Marekani kuhusu wahamiaji
Uganda yasema haina uwezo wa kuhudimia wahamiaji kutoka Marekani.
Waasi wadaiwa kutenda ukatili mkubwa Mashariki mwa Kongo
Amnesty: Vitendo hivyo vinakiuka sheria za kimataifa za kibinadamu na vinaweza kufikia kiwango cha uhalifu wa kivita.
Salaam Charity yabadilisha maisha ya wengi Uganda
Vijana Uganda waanzisha Salaam Charity, lililojikita katika kuchangisha na kusambaza misaada kwa wenye uhitaji.
Uganda yafuzu kuingia robo fainali michezo ya CHAN 2024
Kwa mara ya kwanza kabisa timu ya soka ya Uganda imetinga robo fainali ya michuano ya Shirikisho la soka Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani CHAN 2024, baada ya kutoka sare ya 3-3 dhidi ya Afrika Kusini usiku wa kuamkia leo.
MONUSCO: Waasi wamewaua raia 52 Kongo
Umoja wa Mataifa umesema waasi wamewaua raia 52 katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo katika siku za hivi karibuni.
MONUSCO yasema makumi ya Wakongo wameuawa na waasi wa ADF
Umoja wa Mataifa umesema ya ADF yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 52 nchini Kongo mwezi huu wa Agosti.
Uganda yatinga robo fainali ya kwanza michuano ya CHAN
Uganda imejikatia tiketi ya kucheza robo fainali ya michuano ya kandanda ya Afrika maarufu, CHAN.
DRC yaukataa uteuzi wa kidiplomasia wa Kenya mjini Goma
Serikali ya Kongo imeukataa uteuzi wa Kenya wa balozi mdogo katika jiji lake la Goma lililoathiriwa na mzozo
Mwaka mmoja baada ya kuporomoka kwa jaa la taka Uganda
NI mwaka mmoja tangu kuporomoka kwa jaa la taka la Kiteezi Kampala, Uganda. Waathirika wanasema hawajapata haki zao.
Rwanda yakanusha tuhuma za kuwasaidia M23 katika mauaji
Rwanda imesema "kuhusishwa kiholela kwa jeshi lake la RDF katika tuhuma hizo ni jambo lisilokubalika.
Museveni mbioni kuwavutia wafuasi wa Bobi Wine
Hii ni baada ya kubaini kwamba wanaGhetto ndio waliompa umaarufu Bobi Wine katika siasa za Uganda.
Kongo na M23 walaumiana baada ya mazungumzo ya amani kukwama
Wiki nzima pande zote mbili zimekuwa zikishutumu kila mmoja kwa ukiukaji wa tamko la kanuni walilotia saini hivi majuzi.
Uhifadhi wa mti wa shea ni biashara nyeti nchini Uganda
Mti wa shea ni muhimu sana si tu kwa uhifadhi wa mazingira katika ukanda kati ya Uganda na Ghana barani Afrika lakini pia kama kitega uchumi nyeti kwa jamii zinazoishi maeneo hayo. Tukichukua mfano wa Kaskazini mwa Uganda, mti huo pamoja na mazao yake umekuja kuthaminiwa sana baada ya watu kufahamu manufaa yake endelevu kwa maisha yao badala ya wao kuikata kwa ajili ya mkaa na kuni.
M23 yatuhumiwa kwa mauaji Kongo licha ya mkataba wa amani
Mauaji hayo yamefanywa mwezi Julai hata baada ya kutiwa saini kwa mkataba wa amani kati ya Kongo na waasi hao wa M23.
IOM: Zaidi ya watu 40,000 wakimbia mashambulizi Cabo Delgado
Vurugu, athari za ukame na vimbunga vimesababisha zaidi ya watu milioni moja kuhama makazi yao kaskazini mwa Msumbiji.
Fursa ya Taifa Stars, Harambee Stars na Uganda Cranes CHAN
Jiunge na Bruce Amani, Josephat Charo na Suleiman Mwiru katika mjadala wetu wa michezo unaojikita katika mashindano ya CHAN 2025.
Michuano ya ligi za ndani barani Afrika (CHAN) yaanza
Michuano ya Ligi za ndani za Afrika (CHAN) imefunguliwa Jumamosi jijini Dar-es-Salaam
Rwanda na Kongo kuanzisha ushirikiano wa kiuchumi
Kongo na Rwanda zimetia saini chini ya usimamizi wa Marekani makubaliano ya misingi ya mfumo wa maingiliano ya kiuchumi.
Maisha ya kawaida yarudi mpakani Uganda na DRC
Vituo vya mpakani vya Bunagana na Ishasa vimefunguliwa tena baada ya miaka miwili chini ya udhibiti wa waasi wa M23.
Rwanda na Kongo zafanya mkutano wa kwanza wa pamoja
Rwanda na Congo zinashutumiana kwa kusababisha vita kwenye eneo la mashariki mwa Congo, huku Rwanda ikihusishwa na M23
UN: Kundi la M23 limeua watu 169 mashariki mwa DRC
Mauaji hayo yamezua hofu kubwa kuhusu usalama wa raia na ustawi wa eneo la Mashariki mwa Kongo.
UN: Raia 169 waliuawa na M23 mwezi Julai mashariki mwa DRC
UNJHRO: Operesheni ya M23 iliyopelekea mauaji hayo ilianza Julai 9 katika eneo la Rutshuru.
Wanajeshi wa Uganda na Sudan Kusini washambuliana vikali
Haijulikani bado chanzo cha mapigano hayo yaliyotokea katika jimbo la Equatoria ya Kati nchini Sudan Kusini.
Wanajeshi 5 wa Sudan Kusini wauawa na jeshi la Uganda
Uganda imekuwa ikihusika katika suala zima la usalama nchini Sudan Kusini.
Vikongwe Uganda wakataa kuzeeka
Wanawake wazee nchini Uganda wanakabiliana na athari za uzee kwa kufanya mazoezi na michezo ili kuyapiga kumbo maradhi.
ADF wawaua zaidi ya watu 40 waliokuwa kanisani DRC
Kundi la ADF lenye asili ya Uganda na wapiganaji wenye misimamo mikali ya kidini wamewaua maelfu ya raia
Waasi wa ADF wauwa zaidi ya watu 40 DR Kongo
Zaidi ya watu 40 wameuawa kufuatia mashambulizi yaliyofanya na waasi wa ADF kaskazini mashariki mwa Kongo.
Waasi wa ADF wauwa watu 35 mashariki mwa DRC
Awali, msemaji wa jeshi la Kongo katika jimbo la Ituri Luteni Jules Ngongo, amethibitishwa vifo vya watu 10 pekee.
Zaidi ya raia 21 wauwawa na ADF Mashariki mwa DRC
ADF ni kundi la waasi mashariki mwa DRC lililotangaza kuliunga mkono kundi la kigaidi linalojiita dola la kiislamu
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 1 wa 63
Ukurasa unaofuatia