Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, WHO mwaka 2023, watu milioni 1.25 walifariki kutokana na kuugua kifua kikuu (TB), wakiwemo 161,000 waliokuwa na Virusi Vya Ukimwi. WHO inaonya kuwa kupungua kwa ufadhili wa afya duniani kunahatarisha mafanikio haya. Ungana na Fathiya Omar, makala ya Afya yako.