Nchini Tanzania kesi dhidi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu imepelekwa Mahakama kuu+++Wabunge nchini Kenya waghadhabishwa na madai ya Rais William Ruto kwamba baadhi yao huchukua hongo ili kupitisha miswada bungeni+++ Amnesty International yashutumu makundi ya waasi na makundi yanaoshirikiana na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa ukatili dhidi ya wanawake na mauaji holela ya raia.