Yaliyozingatiwa na magazeti ya Ujerumani mnamo wiki hii ni pamoja na maandamano ya vijana yamepamba moto nchini Msumbiji kudai mabadiliko ya uongozi. Juu ya ugonjwa usiojulikana nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kuangushwa kwa Assad kunaweza kutatiza shughuli za Urusi nchini Libya na kwenye ukanda wa Sahel. Mtayarishaji, Zainab Aziz