You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Adhabu ya kifo
Adhabu ya kifo inamaanisha kitendo cha mataifa kumuua mtu kwa kutenda baadhi ya uhalifu.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
LONDON:Familia ya kifalme yaadhimisha miaka 10 ya kifo cha Princess Diana
Washukiwa wa mauaji ya wwandishi wa Habari wahukumiwa adhabu ya kifo nchini Kongo
Washukiwa watatu akiwemo askari mmoja waliohusika na mauaji ya Mwandishi wa Habari Bapuwa Mwamba mjini Kinshasa mwaka jana, wamehukumiwa adhabu ya kifo, na serikali ya Kongo imetakiwa kulipa fidia ya dola laki tisa kwa familia ya marehemu.
BRUSSELS:Umoja wa Ulaya wapinga adhabu ya kifo Texas
THESSALONIKII:Polisi wapambana na waafrika wanaopinga kifo cha mwenzao nchini Ugiriki
Rwanda yapiga marufuku adhabu ya kifo
Uamuzi wa Rwanda kuondosha adhabu ya kifo umekaribishwa na Umoja wa Mataifa na shirika linalogombea haki za binadamu duniani-Amnesty International.
GENEVA: Rwanda yapiga marufuku adhabu ya kifo
New York. Umoja wa mataifa waukaribisha uamuzi wa Rwanda kuondoa hukumu ya kifo.
GENEVA:Rwanda yafuta adhabu kali na ya kifo
MUMBAI: Adhabu ya kifo kwa mashambulizi ya 1993
Hukumu ya kifo imebadilsihwa kuwa kifungo cha maisha kwa wauguzi wa Ki-Bulgaria nchini Libya
Jopo kuu la Mahakama ya Libya jana liliibadilisha hukumu ya kifo iliotolewa hapo kabla kwa wauguzi watano wa Ki-Bulgaria na daktari wa Kipalastina kuwa adhabu ya kifungo cha maisha gerezani.
WASHINGTON:Wauguzi wahukumiwa kifungo cha maisha sio kifo
TRIPOLI:Hukumu ya kifo kwa waliyowapa ukimwi watoto bado kitendawili
Adhabu ya kifo yathibitishwa
Eti kweli bahshishi itawaokoa wauguzi watano wa Bulgaria na daktari wa kipalastina?
Mahkama Kuu Libya yathibitisha hukumu ya kifo kwa wauguzi wa kigeni.
Mahkama Kuu ya Libya leo imeshikilia hukumu ya adhabu ya kifo dhidi ya wanamatibabu sita wa kigeni kwa kuwambukiza watoto wa Libya virusi vya HIV lakini imefahamika kwamba adhabu hiyo inaweza kubadilishwa.
TRIPOLI: Mahakama kuu yaidhinisha hukumu ya kifo kwa wauguzi na daktari
Adhabu ya kifo yawasubiri waganda 10 nchini China kwa madawa wa kulevya
Serikali ya China imedhamiria kuwanyonga raia 10 wa Uganda waliokamatwa na madawa ya kulevya.
Baghdad. Wahukumiwa kifo.
Kemikali Ali ahukumiwa kifo
Mahkama ya Baghdad imemhukumu kifo kwa kunyongwa Ali Hassan al –Majid ambaye maarufu kwa jina la Kemikali Ali kwa mauaji ya kimbari,uhalifu dhidi ya ubinaadamu na uhalifu wa vita.
BAGHDAD : Kemikali Ali ahakumiwa kifo
Adhabu ya kifo inakiuka haki za binadamu
Wafungwa nchini Malawi wamepata afueni baada ya majaji watatu wa mahakama kuu kupitisha kwa kauli moja sheria ya kuzuia adhabu ya kifo kwa kuzingatia kuwa amri hiyo inakiuka haki za kibinadamu.
MOGADISHU: Waziri mkuu wa mpito anusurika kifo
Adhabu ya Kifo yaongezeka Duniani
Wanaharakati nchini Iran wamepania kuufahamisha umma kuwa adhabu ya kifo haisaidii kuzuia uhalifu na yapaswa kuondoshwa,kwa sababu ni katili.
Morocco kupiga marufuku hukumu ya kifo
Morocco inaendelea kukabiliwa na hali ya wasiwasi kufuatia mauaji mengi yaliyafanywa mbali na hukumu za vifo zilizotolewa na mahakama katika miaka ya nyuma. Lakini watetezi wa haki za binadamu wanalitazama pendekezo la kupiga marufuku hukumu ya kifo kama hatua muhimu itakayowahimiza Wamorocco wengi kushuhudia wanayoyajua kuhusiana na mauaji hayo na kusaidia kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria watuhumiwa.
Kifo cha Boris Yelzin cha gonga vichwa vya habari
Kifo cha rais wa zamani wa Urusi Boris Jelzin na uchaguzi wa rais wa Ufaransa Mei 6 kati ya Sarkozy na Royal, ndio mada kuu zilizochambuliwa na wahariri wa magazeti ya leo ya Ujerumani.
Wanajeshi wawili wahukumiwa kifo Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo
Wanajeshi wawli nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa kuhusika na mauaji ya mwandishi wa habari wa gazeti moja mashuhuri nchini humo mwezi Novembea mwaka 2005.
Benghazi: Wauguzi wa Ki-Bulgaria nchini Libya wakata rufaa dhidi ya hukumu ya kifo
ISTANBUL : Saba wahukumuiwa kifo kwa kuripua mabomu
BEIRUT.Maadhimisho ya kifo cha Rafik Hariri kuendelea leo kama ilivyopangwa
Adhabu ya kifo inapingwa
Mkutanowa kimataifa umeanza leo katika mji huu mkuu wa Ufaransa, ambapo wajumbe zaidi ya elfu moja wanazungumzia mikakati ya kuiondoa adhabu ya kifo. Bado nchi 70 duniani zinatumia adhabu hiyo.
PARIS: Kongamano la kimatifa kupinga adhabu ya kifo
LAGOS: Kifo cha kwanza kimethibitishwa Nigeria kuhusika na H5N1
NEW YORK : Ban aisihi Iraq kusitisha hukumu za kifo
Rome. Itali wapinga hukumu ya kifo.
ROMA: Italia yataka hukumu ya kifo ipigwe marufuku duniani
AWJA: Waombolezaji wa kifo cha Saddam waapa kulipiza kisasi
JENIN: Wapalestina waandamana kufuatia kifo cha Saddam
BAGHDAD: Adhabu ya kifo kwa Saddam Hussein, Rais wa zamani wa Iraq itatekelezwa kwa vyovyote vile.
NEW YORK : Hukumu ya kifo yampa wasi wasi Annan
TRIPOLI: Wauguzi watano na daktari mmoja wahukumiwa kifo
Adhabu ya kifo yazuwiliwa angalao kwa sasa Florida na Kalifornia
Nairobi. Waliomshambulia Ngugi wahukumiwa kifo.
NAIROBI : Wahukumiwa kifo kwa kumshambulia wa Thiongo
LONDON : Kifo cha Diana sio njama ya mauaji
SANTIAGO : Ghasia zaandama kifo cha Pinochet
SANTIAGO : Maelfu washeherekea kifo cha Pinochet
LONDON : Kifo cha Diana ni ajali sio mauaji
MOSCOW : Kifo cha Litvinenko ni mauaji
MOSCOW : Kifo cha Litvinenko ni mauaji
Moscow. Shauri la upelelezi juu ya kifo cha Litvinenko lazua mzozo wa kidiplomasia.
LONDON: Tume inayochunguza kifo cha Litvinenko yapelekwa Urussi
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 9 wa 11
Ukurasa unaofuatia