You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Adhabu ya kifo
Adhabu ya kifo inamaanisha kitendo cha mataifa kumuua mtu kwa kutenda baadhi ya uhalifu.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Hosni Mubarak
Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak amefariki dunia Jumanne akiwa na miaka 91,atazikwa Jumatano kwa heshma za kijeshi
Tanzia: Maisha ya Rais Daniel Arap Moi
Rais wa zamani wa Kenya, Daniel Arap Moi ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 95.
Kifo cha kwanza kutokana na virusi vya corona Ufilipino
Kifo cha kwanza nchini Ufilipino kutokana na virusi vya corona
Dunia yashtushwa na kifo cha Bryant
Kobe amecheza na LA Lakers kwa miongo miwili na kushiriki katika harakati za ubingwa wa timu hiyo kwenye ligi ya NBA.
Sudan yawahukumu kifo wanajeshi 27 kwa kumuua mwandamaji
Kifo cha Ahmed al-Khair, aliyekuwa mwalimu wa shule, kilikuwa suala muhimu na ishara katika maandamano hayo
Rais wa zamani wa Pakistan, Pervez Musharraf ahukumiwa kifo
Pervez Musharraf amekutikana na kosa la uhaini
Kiongozi wa Malta Joseph Muscat kujiuzulu.
Muscat amesema amemuarifu rais wa nchi hiyo kuwa atajiuzulu kama kiongozi wa chama cha Labour tarehe 12 mwezi
Bangladesh yawahukumu kifo wanamgambo 7 wa shambulio la 2016
Wanamgambo saba wa kundi la Jumatul Mujahedeen wamehukumiwa kifo Bangladesh, kwa kupanga shambulio llilouwa watu 20.
Trump athibitisha kifo cha kiongozi wa "Dola la Kiislamu"
Kifo chake kinazingatiwa kuwa pigo kubwa kwa kundi hilo la wanamgambo ambalo wakati mmoja lilikuwa na nguvu kubwa
Uganda: HRW yataka uchunguzi kifo cha mwanaharakati
Wasswa aliuawa baada ya kushambuliwa
Watu 14 wafariki Congo baada ya mgodi kuporomoka
Huzuni yakumba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya watu 14 kufariki kufuatia mgodi kuporomoka.
Viongozi wa Afrika kumuaga rasmi Mugabe mjini Harare
Viongozi mbalimbali wanakusanyika mjini Harare kumpa buriani rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe.
Viongozi watuma pole kufuatia kifo cha Mugabe
Marais wa Afrika watuma pole kufuatia kifo cha rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe
Robert Mugabe amefariki dunia
Rais Robert Mugabe amefariki dunia
Ligi ya mabingwa barani Ulaya kundi F ni la kifo
Kundi F katika Champions League msimu wa mwaka 2019/20 ni la kifo
Waziri Kabudi kukiri kifo cha Gwanda kwazusha sintofahamu
Kauli ya Waziri Kabudi kukiri kifo cha Gwanda inamaanisha nini?
Ushahidi wamhusisha bin Salman na kifo cha Khashoggi
Mchunguzi maalum Agnes Callamard ameitaka UN kufungua uchunguzi wa uhalifu dhidi ya mwanamfalme na maafisa wengine.
Kifo kutokana na Ebola chasababisha hofu Uganda
Wizara ya afya Uganda imetangaza hatua za dharura kukabiliana na mripuko wa Ebola
Kifo cha kwanza kutokana na ebola chatokea Uganda
Pamekuwa na hofu ugonjwa wa ebola ungeenea katika nchi jirani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Utekelezwaji wa adhabu ya kifo wapungua ulimwenguni
Mafanikio hayo hata hivyo yanatiwa doa na sheria mpya za Brunei zinazowalenga mashoga, wezi na wazinzi
Saudi Arabia: Wauaji wa Khashoggi kuhukumiwa kifo
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo asema Marekani itawawajibisha watakaohusika na mauaji ya Jamal Khashoggi.
Ibada ya kumuaga Isaac Gamba yaendelea Dar es Salaam
Mwili wa Isaac Gamba uliwasili Dar es Salaam kutoka Ujerumani alfajiri ya leo.
Buriani Isaac Gamba
Idhaa ya DW na tasnia ya habari kwa jumla imepata pigo kubwa kufuatia kifo cha mtangazaji wa habari Isaac Gamba
Trump kuiadhibu vikali Saudia kutokana na kupotea Khashoggi
Rais wa Marekani, Donald Trump ameonya kuwa nchi yake itachukua hatua kali iwapo itagundua kuwa Khashoggi ameuawa.
Mahakama ya kijeshi Misri yawahukumu kifo watu 17
Watu 17 wamehukumiwa kifo na mahakama ya kijeshi Misri kwa kuhusishwa na mashambulizi kadhaa ya mabomu katika makanisa
Viongozi wa Udugu wa kiislamu wahukumiwa kunyongwa Misri
Mashirika ya haki za binadamu yalaani hukumu hiyo katika kesi ambayo imetajwa kuwa fedheha
Kenya: Mwanafunzi auawa na kutupwa msituni
Timu maalumu ya wachunguzi wa mauaji ya binadamu nchini Kenya imetumwa katika kaunti za Migori na Homa Bay kuchunguza mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu aliekuwa ametekwa nyara pamoja na mwandishi habari wa kampuni ya Nation Media. John Juma alizungumza na Erick Oduor kuhusu sakata hilo.
Kifo cha mfalme wa Pop, Michael Jackson
Mfalme wa muziki wa Pop duniani Michael Jackson aliyejulikana sana kwa aina yake ya uchezaji wa kujinyonga na mavazi yake, Agosti 29 angekuwa anatimiza miaka 60. Jackson alifariki dunia mwaka 2009 akiwa na miaka 50 kutokana na kuzidisha madawa. Papo kwa Papo 29.08.2018.
Kifo cha McCain na ziara ya Papa Francis Magazetini
Kifo cha McCain na ziara ya Papa Francis Magazetini
Msiba wa kifo cha Kofi Atta Annan Mmagazetini
Msiba wa kifo cha Kofi Atta Annan Mmagazetini
Viongozi waomboleza kifo cha Kofi Annan
Kutoka katika bara lake la Afrika hadi Marekani, salamu za maombolezi zilimiminika kutoka kwa viongozi duniani.
Kumbukumbu ya Kofi Annan: Msuluhishi hodari na mtu makini
Kofi Annan alikuwa msuluhishi hodari aliyekuwa hakubali kushindwa
Tanzania yaomboleza kifo cha King Majuto
Rais wa shirikisho la wasanii Samson Mwakifamba amezungumza na mwenzetu Isaac Gamba juu ya kifo cha msanii maarufu wa vichekesho Amri Athumani Majuto maarufu King Majuto. Sikiliza hapa.
Kenya: Jopo lapendekeza hukumu ya kifo iondolewe
Jopo lasema ipo haja ya kuwa na adhabu anuwai ikiwemo kutumikia kifungo nje
Msichana alohukumiwa kifo kwa kuua apunguziwa adhabu
Adhabu hiyo imepunguzwa baada ya msichana huyo kukata rufaa
Msichana wa miaka 19 ahukumiwa kifo Sudan
Wanaharakati wa kutetea haki za binaadamu wamemtaka rais Omar al Bashir kumsamehe Noura.
Hukumu ya kifo yapungua Afrika
Adhabu ya kifo yapungua Afrika
Ni miaka 50 tangu kifo cha Martin Luther King Jr
Wamarekani weusi bado wanaachwa nyuma kwa karibu kila nyanja licha ya harakati za miongo kadhaa za kupatikana usawa.
Viongozi mbalimbali waomboleza kifo cha Winnie Mandela
Viongozi mbalimbali duniani wameendelea kutoa salamu zao za rambirambi kufuatia kifo cha Winnie Mandela.
Ufisadi Shuleni – Ep 1 ''Busu la Kifo''
Watoto wanaozaliwa nchi maskini wakabiliwa na hatari ya kifo
UNICEF, inasema watoto wanaozaliwa katika nchi maskini zaidi duniani wengi kutoka Afrika wanakabiliwa na hatari ya kifo
Gambia yasitisha adhabu ya kifo
Rais wa Gambia Adama Barrow ametangaza kusitisha adhabu ya kifo katika nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika.
Kifo cha Morgan Tsvangirai ni mshtuko na huzuni
Dunia imepokea habari za kifo cha Tsvangirai kwa masikitiko makubwa. Rambirambi kutoka kila upande zamiminika.
Mwaka mmoja tangu kifo cha Tshisekedi
Ni mwaka mmoja tangu kifo cha kiongozi mkuu wa upinzani huko DRC Etienne Tshisekedi. Mwili wake ungali Ubelgiji kutokana na mvutano kati ya familia yake na serikali. Msemaji wa chama cha upinzani cha UDPS Valentin Mubake anazungumzia kinachoendelea.
Mediterania Bahari ya kifo
Ripoti ya IOM yasema hatari yaongezeka kwa wahamiaji baada ya njia nyingi za kuingia ulaya kufungwa
Kwanini watu huamua kujiua?
Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani inaonyesha kuwa watu takriban milioni moja hujiua kila mwaka.
Maandamano Kenya kufuatia kifo cha asfisa wa uchaguzi
Sikiliza mahojiano na Mwanaharakati wa haki za binaadamu Ken Wafula kuhusu maandamano yao
Mahojiano kuhusu kifo cha afisa wa tume ya uchaguzi Kenya
Mwili wa meneja wa teknolojia na mawasiliano wa tume inayosimamia uchaguzi Kenya IEBC Chris Musando umepatikana, siku tatu tu baada ya afisa huyo kutoweka
Kifo cha Helmut Kohl: Bendera zapepea nusu milingoti
Helmut Kohl anakumbukwa nyumbani kama baba wa muungano wa Ujerumani, uliopatikana baada ya kuanguka kwa ukuta wa Berlin.
Wajerumani wasikitishwa na kifo cha Kohl
Bila shaka Wajerumani wana haki ya kusikitishwa na kuhuzunishwa na kifo cha Helmut Kohl, anasema Abdullah Salim Mzee, mkazi wa Potsdam, mji mkuu wa Ujerumani, katika maoni yake wakati wa mahojiano maalumu na Josephat Charo.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 6 wa 11
Ukurasa unaofuatia