You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Abu Bakar al-Baghdadi
Abu Bakar al-Baghdadi ni kiongozi wa kundi la kigaidi linalojiita “Dola la Kiislamu” (IS).
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Biden nchini Iraq.
Biden atakutana na viongozi wa Iraq pamoja na makamanda wa jeshi la Marekani nchini Iraq.
Miaka sita baada ya uvamizi wa Iraq
Wairaki wanaendelea kukabiliwa na hali ngumu ya maisha na mashambulizi ya kigaidi hata baada ya miaka sita tangu nchi hiyo kuvamiwa chini ya uongozi wa majeshi ya Marekani.
Iran na Syria zakosolewa na El Baradei
Mwaka huu 2009, Shirika la Atomu la Umoja wa Mataifa IAEA litakuwa na mkurugenzi mkuu mpya. Bado haijulikani nani atakaemrithi Mkurugenzi Mkuu wa hivi sasa Mohammed el Baradei.
Marekani yapanga kupunguza majeshi yake nchini Iraq
Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza mpango wa kurejesha nyumbani sehemu kubwa ya vikosi vyake kutoka Iraq ifikapo mwezi wa Agosti mwaka 2010.
Syria ufunguo kwa suluhisho la Mashariki ya Kati
Mkuu wa sera za nje wa Umoja wa Ulaya,Javier Solana amekutana na Rais wa Syria Bashar al-Assad na Waziri wa Mambo ya Nje Walid al-Mualiim mjini Damascus akiwa katika ziara ya juma moja katika Mashariki ya Kati.
Rais Barrak Obama- majeshi ya Marekani kuondoka Iraq.
Bado shamra shamra za kumkaribisha rais mpya wa Marekani Barrak Obama zinaendelea huku viongozi wa mataifa mbali mbali ulimwenguni wakiendelea kumlimbikizia sifa tele rais huyo kwenye risala zao za pongezi.
Sherehe za Ashura huko Karbala, Iraq, zafikia kilele chake
Washia waadhimisha Ashura, kukumbuka kuuliwa Imam Hussein
Wakili wa Rais wa zamani wa Iraq, ajitokeza kumtetea mwandishi aliyemtukana Rais Bush.
Aliyekuwa Wakili wa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Saddam Hussein amejitokeza kuweza kumtetea, mwandishi aliyekamatwa baada ya kumrushia viatu Rais Bush mjini Baghdad.
Mkataba wa usalama baina ya Iraq na Marekani
Majeshi ya Marekani yatabakia Iraq hadi mwisho wa mwaka 2011
Baraza la mawarizi la Iraq laidhinisha kuongezwa kwa muda wa Jeshi la Marekani.
Baraza la Mawaziri nchini Iraq hatimaye limeidhinisha mpango uliofanyiwa marekebisho wa kuendelea kuhudumu kwa vikosi vya usalama vya Marekani nchini humo hadi mwaka 2011.
Iraq na Marekani kuendelea na mashauriano kuhusu iwapo jeshi la Marekani liendelee kuhudumu nchini Iraq au la.
Marekani na serikali ya Iraq zikijaribu kufikiana kuhusu mpango mpya wa kubakia kwa majeshi ya Marekani nchini Iraq, nchi hiyo sasa imejikuta katika njia panda baina ya maslahi ya Marekani na vitisho vya Iran.
Waziri wa ulinzi wa Uingereza aizuru Iraq
Maandamano yapinga kubakisha majeshi ya Marekani nchini Iraq
Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Iraq Baghdad wakitoa wito wa kuyaondosha majeshi ya Marekani nchini humo.
Marekani yatakiwa kuwapokea wakimbizi zaidi wa Iraq
Wakati hali ya usalama nchini Iraq ikielezwa kuwa inajaribu kutengamaa taratibu,kwa wakimbizi wa nchi hiyo kurejea nyumbani kwao bado ni hatari.
Rais Bush atangaza mpango wa kuondoa wanajeshi 8000 Iraq
Wanajeshi zaidi wa Mareakani watapelekwa Afghanistan
Rais Sarkozy wa Ufaransa ziarani Syria
Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa leo anawasili mjini Damascus Syria katika ziara iliotangazwa mno yenye lengo la kurudisha uhusiano wa ngazi ya juu kati ya nchi hizo na kuiondowa Syria zaidi katika kutengwa kimataifa.
Maandamano ya kupinga vita vya Iraq katika mkutano mkuu wa Republican
-
Marekani yakabidhi jimbo la Anbar kwa serikali ya Iraq
Jeshi la Marekani limekabidhi jimbo la Anbar kwa vikosi vya usalama vya Iraq leo hii ikiwa pungufu ya miaka miwili baada ya karibu kulipoteza jimbo hilo la magharibi kwa waasi wa Kisunni.
Kandarasi za Ulinzi Iraq zaigharimu Marekani mabilioni
Kandarasi za makampuni binafsi huko Iraq na katika nchi jirani,zitaigharimu serikali ya Marekani zaidi ya dola bilioni 100,ifikapo mwisho wa mwaka 2008.
Syria na Lebanon kuanzisha uhusiano wa kibalozi
Rais wa Syria Bashar al-Assad aliushangaza ulimwengu alipotangaza Paris kuwa karibuni Syria itakuwa na majadiliano ya kuanzisha uhusiano wa kibalozi pamoja na Lebanon.
Amri ya kutotembea ovyo yawekwa katika jimbo la Diyala nchini Iraq.
Gavana wa jimbo la Diyala anusurika kuuwawa katika shambulio la kujitoa muhanga.
wamarekani waliouwwa Iraq
Idadi ya askari wa Marekani waliouwawa vitani mwezi huu wa Julai imepungua mno-5.
Mashambulio ya kujitoa muhanga yaitikisa Iraq
Miji ya Baghdad na Kirkuk yashuhudia wimbi hilo kubwa la mashambulio yaliyofanywa na washambuliaji wa kike
Waziri mkuu wa Iraq apania kuufufua ushirikiano wa kiuchumi na Ujerumani
Ameyatolea mwito makampuni ya Ujerumani kuwekeza Iraq
Wafungwa 25 wapigwa risasi na kuuwawa na polisi nchini Syria
-
Bush na Talabani wakutana
Marais wa Marekani na Iraq, George Bush na Jalal Talabani, watakutana punde.
Waziri wa mambo ya nje wa Ufaransa ziarani Iraq
-
Ban Ki-Moon asifu maendeleo yaliyopatikana Iraq
Iraq,kwenye mkutano wa kimataifa mjini Stockholm,kwa mara nyingine tena imetoa wito wa kusamehewa madeni ya kama Dola bilioni 60 na kuondolewa vikwazo vilivyowekwa wakati wa utawala wa Saddam Hussein.
Mkutano kutathmini maendeleo yaliyopatikana Iraq
Wajumbe kutoka nchi na mashirika mbali mbali hii leo wanakutana Stockholm nchini Sweden,kutathmini maendeleo yaliyopatikana nchini Iraq.
Israel na Syria zaridhishwa na hatua iliyofikiwa katika mazungumzo
Israel huenda ikaamua kufanya maamuzi magumu juu ya suala la ardhi ya Golan
Jeshi la Iraq limeingia kwa amani katika kiunga cha Sadr City
Pia Tariq Aziz mahakamani leo kujibu shtaka la mauaji
Rais Bush azitaka nchi za Kiarabu kuzitenga Iran na Syria
-
Majadiliano Mapya Kati ya Israel na Syria
Wakati ikihofiwa kuwa kuna uwezekano wa vita kuzuka kati ya Israel na Syria,ukweli ni kwamba nchi hizo mbili huenda ikawa zinakaribia kuafikiana.
Iraq yasifika katika kikao cha Kuwait
Kikao cha nne cha nchi za kiarabu na zile za magharibi zenye uwezo mkubwa kitafanyika mjini Baghdad
Muqtada al Sadr atishia kutangaza vita dhidi ya serikali ya Iraq
-
Kamanda wa jeshi la Marekani nchini Iraq, ataka jeshi la nchi hiyo, kupewa muda nchini Iraq.
Kamanda wa Jeshi la Marekani nchini Iraq, Jenerali David Petraeus ametoa wito wa kuahirishwa kuondolewa kwa jeshi hilo nchini humo, angalau siku 45 baada ya mwezi wa saba akionya mafaninikio yaliyopata bado si imara.
Vifo vya raia vyaongezeka Iraq.
Majeshi ya Iraq bado yanapambana na wanamgambo wa al-Sadr.
Serikali ya Iraq yafanya mazungumzo na wawakilishi wa al-Sadr.
Mapigano mjini Basra Iraq yapamba moto
60 wafariki na wengine 200 wajeruhiwa kufikia sasa
Moqtada el-Sadr atishia kufanya uasi wa kijamii Iraq.
4,000 ndio wamarekani waliokufa Iraq
Lakini idadi ya raia waliokufa inafika robo millioni
Wakimbizi wa Iraq wakosa ajira nchini Syria
Zaidi ya raia milioni wa Iraq wanaishi Nchini Syria bila kazi.Hali hii inasababishwa na wao kutokuwa na kitu cha kufanya kitendo kinachowafanya waitwe watu wasiokuwa na ajira.
Idadi ya vifo vya wanajeshi wa Marekani Iraq imepanda
Wanajeshi 4,000 wa Marekani ndio wameuliwa Iraq kuafikia sasa
Miaka mitano ya vita vya Iraq hali bado ni ngumu nchini humo.
Mwaka wa sita umeanza tangu kuanzishwa kwa vita vya Iraq na utawala wa rais Goerge Bush wa Marekani na hali nchini humo bado inaendelea kuzorota.
Masaibu ya watoto nchini Iraq
Uwepo wa wanajeshi wa Marekani nchini Iraq umewaathiri zaidi watoto kuliko wananchi wengine wote
Rais Talabani wa Iraq ataka uwekezaji wa Uturuki
Sheria kali zatowesha ndoto za maendeleo kwa wanawake wa Iraq.
Wakati mmoja mwanamke alikuwa na haki zaidi na uhuru nchini Iraq, kuliko mahala kwengine kokote katika kiarabu. sasa hali ni kinyume na ndoto ya mwanamke hasa katika elimu na nafasi ya kujiendeleza imeanza kutoweka.
Rais wa Iran ziarani Iraq.
Rais wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad leo ameingia katika siku ya pili ya ziara yake nchini Iraq, ambapo lengo la ziara hiyo ni kuimarisha ushirikiano wa nchi hizo mbili hasa kiuchumi.
Kazi tuliyotumwa Iraq tumeimaliza-Jeshi la Uturuki.
Lakini kweli kazi imemalizika?
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 59 wa 77
Ukurasa unaofuatia