You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Abu Bakar al-Baghdadi
Abu Bakar al-Baghdadi ni kiongozi wa kundi la kigaidi linalojiita “Dola la Kiislamu” (IS).
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Syria imepewa siku tatu kudumisha amani nchini humo
Huku Syria ikipewa siku tatu kusitisha mapigano, utawala wake sasa umewataka wafuasi wake kutofanya mashambulizi katika balozi za kigeni nchini humo
Syria iache kutumia nguvu dhidi ya waandamanaji
Umoja wa nchi za kiarabu umetoa muda wa siku tatu kwa serikali ya Syria kusita kutumia mabavu dhidi ya watu wanaoandamana kwa amani na pia kuwaruhusu waangalizi wa kiarabu nchini humo.
Umwagaji damu wafikia kilele kipya Syria
Hadi watu 90 wameuawa nchini Syria katika kipindi cha siku moja huku upinzani dhidi ya rais wa nchi hiyo Bashar al-Assad ukishuhudia kilele kipya cha umwagaji damu.
Upinzani Syria wakutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi
Wapinzani wa Syria wanaoishi uhamishoni wako Moscow kwa mazungumzo na waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov, ambaye nchi yake imekataa kuunga mkono msimamo wake juu ya uwekwaji vikwazo dhidi ya Syria
Umoja wa Ulaya waimarisha vikwazo zaidi kwa Syria
Umoja wa Ulaya umeimarisha vikwazo dhidi ya utawala wa rais wa Syria bashar al Assad katika hatua ya kupinga ukamizaji wake dhidi ya waandamanaji wanaoipinga serikali.
Syria yaomba mkutano wa jumuiya ya nchi za Kiarabu
Syria imeomba kuitishwa kwa mkutano wa dharura wa jumuiya ya nchi za kiarabu, katika juhudi za kuzuia kutengwa na jumuiya hiyo.
Mapigano yaendelea Syria licha ya jumuiya ya kiarabu kukubaliana kusitishwa kwa mapigano.
Licha ya serikali ya Syria kutangaza kukubali mpango wa jumuiya ya kiarabu kumaliza vita na kuleta amani nchini humo, majeshi huko yamesababisha vifo vya watu watatu katika mikoa kadhaa mjini Homs, Hama na Idlib.
Syria kukubaliana na mapendekezo ya Jumuiya ya Kiarabu
Mwakilishi wa Syria kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Youssef Ahmed, amewasili mjini Cairo akipeleka jibu la nchi yake kwa mpango uliopendekezwa na Jumuiya hiyo kumaliza mgogoro wa kisiasa unaoendelea Syria.
Mapigano yanaendelea Syria
Rais Bashar al Assad ametishia kutokea maafa makubwa katika mashariki ya kati, iwapo mataifa ya magharibi yataiingilia hali Syria
Umwagaji damu waendelea Syria
Hadi raia 40 wameuawa hapo jana, (29.10.11), baada ya vikosi vya usalama kufyatulia risasi maandamano ya kudai demokrasia na kuiitaka jumuiya ya kimataifa kuzuia ndege kuruka katika anga ya Syria.
Ujumbe wa Jumuiya ya Kiarabu waenda Syria
Waandamanaji 13 wameuwawa hivi leo nchini Syria, wakati Rais Bashar Al-Assad wa nchi hiyo akikutana na ujumbe wa mawaziri kutoka Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wanaomshinikiza kuzungumza na upinzani.
Urusi na China zapinga azimio dhidi ya Syria
Urusi na China zimepinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilioandaliwa na mataifa ya Ulaya na ambalo linatishia kuchukuwa hatua dhidi ya ukandamizaji wa serikali ya Syria kwa waandamanaji.
Azimio dhidi ya Syria
Urusi na China ziliungana hapo jana kupinga rasimu ya mataifa ya Ulaya ya azimio la baraza la usalama la Umoja wa mataifa, linaloashiria kuwa huenda Syria ikakabiliwa na vikwazo iwapo itaendelea na ukandamizaji
Mataifa ya Ulaya yaionya Syria
Vikosi vya serikali ya Syria vimeendelea na mashambulizi dhidi ya waandamanaji, vikiwauwa zaidi ya watu 10, huku mataifa ya Ulaya yakimuonya Rais Bashar Al-Assad dhidi ya kuwashambulia wapinzani wake walio Ulaya.
Upinzani wataka marufuku ya ndege kutoruka katika anga ya Syria
Upinzani nchini Syria unataka nchi hiyo iwekewe marufuku ya ndege kutoruka katika anga yake kwa lengo la kuwalinda raia dhidi ya ukandamizaji unaofanywa na serikali.
Watu 47 wauawa Syria
Kwa mujibu wa ripoti za wanaharakati wa upinzani, hadi watu 47 waliuawa na vikosi vya usalama vya Syria hapo jana, baada ya waandamanaji kumiminika barabarani katika sehemu mbali mbali nchini humo.
Vikosi vya Syria vyaendelea kutumia mabavu
Hadi watu 17 wameuawa na vikosi vya serikali ya Syria hapo jana, wakati waandamanaji wakiendelea kutoa mbinyo zaidi kwa serikali ya Rais Bashar al-Assad.
Syria hali bado ni tete
Viongozi wa nchi iliyokuwa mshirika wa karibu Syria, Uturuki, wameonesha kumtupa mkono Rais Bashar al Assad kutokana na kutokuwa na imani naye, wakati majeshi yake yakiendelea kuwashambulia raia.
Vikosi vya usalama nchini Syria vimewauwa waandamanaji 25
Watu 25 wameuwawa na vikosi vya Syria baada ya maelfu kumiminika mitaani baada ya sala ya ijumaa. Mauaji hayo yametokea siku moja tu baada ya viongozi wa mataifa makubwa kutoa wito kwa Rais Bashar al-Assad kujiuzulu.
Watu watatu wauawa Syria
Vikosi vya jeshi la Syria vimewaua waandamanajai 3, mnamo wakati ambapo maelfu ya waandamanaji wakiingia mitaani mara baada ya swala ya Ijumaa na kuzidisha upinzani wao dhidi ya serikali ya Rais Assad kumtaka ajiuzulu
Jeshi lapambana na waandamanaji Syria
Majeshi ya Syria jana yalifyatua risasi kuwatawanya waandamanaji wanaoipinga serikali katika mji wa Homs ulioko katikati ya nchi hiyo na kusababisha kifo cha mtu mmoja na mwingine kujeruhiwa.
Vikosi vya Syria vyaendelea kushambulia raia
Rais wa Syria Bashar al-Assad amesema, operesheni za majeshi na polisi dhidi ya wagombea demokrasia zimesitishwa.
Mambo yanapamba moto Syria
Majeshi ya Syria leo yameushambulia mji wa Latakia kwa mabomu na kuendelea kuusakama mji huo wa bandari
Hali nchini Iraq
Zaidi ya watu 75 wamepoteza maisha yao katika mashambulio chungu nzima ya mabomu yaliyoitikisa miji kadhaa ya Iraq hii leo.Mashambulio hayo yanatokea huku wanajeshi wa Marekani wakijiandaa kuihama Irak.
Syria yatumia manowari kupambana na wapinzani
Nchini Syria, serikali ya Rais Bashar al-Assad inazaidi kutumia silaha kubwa, dhidi ya waandamanaji wanaodai demokrasia.
Wapenda mageuzi nchini Syria wajiandaa kwa maandamano
Raia 2 wameuliwa leo na vikosi vya usalama vya Syria, mmoja karibu na mji mkuu Damascus na wa pili , kaskazini magharibi ya Syria.Habari hizo zimetangazwa na shirika la haki za binaadam la Syria.
Septemba 11, uhuru na hofu nchini Iraq: Wasifu wa Aqeel Lazim, daktari wa Iraq
Baada ya 9/11 vilikuja vita vya Iraq. Vita hivyo vimebadili maisha ya Aqeel Ibrahim Lazim.
Kunatokota Syria, jee itaangukia katika vita vya kienyeji?
Mbinyo wa kimataifa kwa utawala wa Rais Bashar al-Assad wa Syria unazidi kuwa mkubwa. Mfalme Abdullah wa Saudi Arabia ametoa mwito wa kufanywa marekebisho ya kisiasa ya haraka na makubwa katika nchi hiyo.
Watu 10 wauwawa nchini Syria
Kiasi ya watu 10 wameuwawa baada ya vikosi vya usalama kuwashambulia waandamanaji nchini Syria.
Maandamano makubwa kuitikisa Syria
Hali nchini Syria inazidi kuwa Tete. Wakati utawala wa nchi hiyo ukiendelea na ukandamizaji,Wasyria wametolewa mwito wa kuandamana hii leo ijumaa dhidi ya rais Bashar al Assad.
Umoja wa Mataifa walaani mauaji ya raia Syria
Baada ya siku kadhaa za kushindwa kufikia uamuzi hatimaye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limetoa tamko la kulaani hatua ambazo serikali ya Syria inachukua kukabiliana na waandamanaji wanaoipinga serikali hiyo.
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa lalaani ukandamizaji nchini Syria
Baada ya siku kadhaa za kushindwa kufikia uamuzi hatimaye baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limetoa tamko la kulaani hatua ambazo serikali ya Syria inachukua kukabiliana na waandamanaji wanaoipinga serikali hiyo.
Vikosi vya Syria vyauzingira mji wa Hama
Vifaru vya jeshi la Syria vimeendelea kuuzingira mji wa Hama ambako kiasi ya watu 100 inaarifiwa waliuawa hapo jana , huku Rais Bashar al-Assad akivipongeza vikosi hivyo kwa kupambana na wapinzani wa serikali
Shinikizo lazidi makali dhidi ya serikali ya Syria
Muakilishi mkuu wa sera ya nje wa Umoja wa Ulaya Catherine Ashton ametoa mwito baraza la usalama la Umoja wa mataifa lipitishe haraka uamuzi ili kukomesha matumizi ya nguvu nchini Syria.
Hali imeendelea kuwa tete nchini Syria
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza William Hague ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuongeza mbinyo zaidi dhidi ya Syria kufutia matukio ya ukandamizaji dhidi ya waandamanji nchini humo ambapo watu 140 wameuwa.
Wanaharakati wa Syria wataandamana pia Ramadhan
Wanaharakati nchini Syria wanasema wataendelea kuandamana hata mwezi wa Ramadhan. Mapigano yameripotiwa Dair az Zour, na bomba la mafuta kuripuliwa karibu na mji wa Homs.
Mbinyo wa nchi za Magharibi juu ya Syria unazidi
Serekali za nchi za Magharibi leo zilizidisha mbinyo kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lichukuwe hatua dhidi ya Syria
Wapenda mageuzi wavinjari nchini Syria
Katika wakati ambapo wanaharakati wa vuguvugu la mageuzi ya kidemokrasi wanapanga kuteremka tena majiani leo,Syria inaituhumu Marekani kuchochea uasi
Hali bado tete nchini Syria
Waandamanaji nchini Syria wameingia tena katika miji kadhaa ya jiji la Hama nchini Syria ambao umekuwa ukilengwa na vikosi vya usalama nchini humo baada ya tukio lililosababisha kiasi cha watu 20 kuuwawa hapo awali.
Mambo yanazidi kuwa moto Syria
Si chini ya watu 22 wameuliwa katika msako mkali uliofanywa na majeshi ya usalama ya Syria katika mji usiokuwa tulivu wa Hama, katikati ya nchi hiyo.
Utafiti: Vita vya Marekani Afghanistan, Iraq vyaua 225,000
Kwa mujibu wa utafiti wa Chuo Kikuu cha Brown cha Marekani, vita vya Marekani katika mataifa ya Iraq, Pakistan na Afghanistan kufuatia mashambulizi ya Septemba 11, vimeshauwa watu 225,000 na kugharimu dola trilioni nne.
Shaka ya kutokea machafuko kati ya Syria na Uturuki imetanda
Marekani imeonesha wasiwasi kufuatia ripoti zinazoeleza kwamba Syria imeongeza idadi ya wanajeshi wake karibu na mpaka wa nchi hiyo na Uturuki, kwa kusema jambo hilo linaweza kusababisha machafuko katika ukanda huo
Syria yaandamwa na vikwazo vipya
Mataifa ya Umoja wa Ulaya yametanuwa vikwazo vyake dhidi ya Syria kuhusisha kampuni nne za kijeshi na watu zaidi wanaohusika na ukandamizaji wa maandamano ya kupinga serikali ya nchi hiyo.
Rais wa Syria atoa msamaha mpya kwa wafungwa
Rais wa Syria Bashar al-Assad katika jitahada ya kumaliza machafuko ya umwagaji damu nchini humo, leo ametoa amri mpya ya kuwaachilia huru wafungwa waliofanya uhalifu kabla ya Juni 20 mwaka huu.
Wanaoikimbia Syria sasa wafikia 10,000
Syria inaendelea kushinikizwa isitishe misako inayofanywa na vikosi vya serikali dhidi ya waandamanaji wanaotaka demokrasia, huku Umoja wa Mataifa ukisema kuwa kiasi ya raia 10,000 wameshaikimbia nchi hiyo.
Askari wa Syria washukiwa kuchoma moto mashamba
Wakimbizi kutoka Syria wameendele kumiminikia katika miji ya mpakani nchini Uturuki kuyanusuru maisha yao kutokana na mashambulio ya wanajeshi wa serikali ya Rais Bashar al-Assad, wanaotuhumiwa pia kuchoma mashamba.
Mauaji yaendelea Syria
Kumekuwa na taarifa kwamba vikosi vya usalama vya Syria vimewaua kiasi waandamanji 25 wanaoipinga serikali, wakiwemo 11 katika eneo la kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo.
Jeshi la Syria laanzisha msako Jisr al Shangour huku maelfu wakiandamana
Wanajeshi nchini Syria leo walianzisha msako uliohofiwa kwa muda mrefu katika mji wa Jisr al Shangour, huku maelfu ya waandamanaji wanaodai demokrasia wakijitosa katika barabara za miji kote nchini humo kwa maandamano.
Urusi, China zapinga azimio dhidi ya Syria
China imeungana na Urusi kusema kwamba itapinga azimio linaloungwa mkono na Marekani dhidi ya Syria katika mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Nishati ya Atomiki unaofanyika mjini Vienna, Austria.
Umoja wa Ulaya waimarisha vikwazo vyake kwa Syria
Vikwazo dhidi ya Syria, Iran, Libya na Belarus ni miongoni mwa masuala yaliyojadiliwa na mawaziri wa mambo ya nje wa nchi 27 wanachama wa Umoja wa Ulaya walipokutana wa hiyo jana (23 Mei 2011) mjini Brussels, Ubelgiji.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 57 wa 77
Ukurasa unaofuatia