You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Abu Bakar al-Baghdadi
Abu Bakar al-Baghdadi ni kiongozi wa kundi la kigaidi linalojiita “Dola la Kiislamu” (IS).
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Mkutano wa Munich wazilaani China na Urusi
China na Urusi zimendelea kushutumiwa vikali kwa kutumia kura ya turufu kupinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kumaliza ghasia nchini Syria, ambako mauaji dhidi ya waandamanaji yanaripotiwa kuendelea.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Mzozo wa Syria
Jumuia ya nchi za kiarabu imelisihi baraza la usalama lipitishe hatua dhidi ya utawala wa Syria,lakini Damascus na mshirika wake Urusi hawaonyeshi kuregeza kamba.
01.02.2012
Deutschewelle:Kwa mara nyingine Urusi yakataa kabisa kuunga mkono azimio la baraza la usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Syria wakati hali ikizidi kuwa mbaya.
Maji yamezidi unga nchini Syria
Upinzani nchini Syria umeitangaza siku ya leo kuwa siku ya maombolezi na ghadhabu baada ya takriban watu 100 wengi wakiwa ni raia kuuwawa katika ghasia zinazoendelea nchini humo.
Watu 66 wauwawa nchini Syria
Hali imeendelea kuwa mbaya nchini Syria ambapo watu 66 wameuwa katika mapigano makali nchini humo, huku serikali ya Ujerumani ikihimiza jumuiya ya kimataifa kufanya jitihada za haraka katika katika kudhibiti mauwaji hayo
Mashambulio yapamba moto Syria
Vikosi vya Syria hapo jana viliimarisha ukandamizaji wake,huku wanaharakati wakiripoti vifo 120 katika kipindi cha siku mbili na Umoja wa Mataifa ukishinikizwa kutoa mwito kwa Rais Bashar al-Assad kuondoka madarakani.
Umwagaji damu usitishwe Syria
Umoja wa Nchi za Kiarabu unashinikizwa kuomba msaada wa Umoja wa Mataifa huku sauti zikizidi kupazwa kuwa tume iliyopelekwa Syria hivi karibuni, imeshindwa kuzuia mauaji yanayoendelea tangu miezi kumi nchini humo.
16.01.2012
Deutsche Welle: Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amemuonya Rais Bashar al- Assad wa Syria dhidi ya ukandamizaji kwa raia kuwa hauna mwisho mwema.
Ujumbe wa umoja wa nchi za Kiarabu hausaidii raia Syria
Mjumbe wa zamani wa kundi la uchunguzi la umoja wa nchi za Kiarabu amesema kuwa wachunguzi kadhaa wa umoja huo wameondoka Syria ama huenda wakafanya hivyo hivi karibuni kwa sababu ujumbe huo umeshindwa
Mwandishi habari wa Ufaransa auawa Syria
Ufaransa inaitaka Syria kuanza kuchunguza mauaji ya ripota wa Kifaransa yaliyotokea katika mji wa Homs nchini Syria.
Umoja wa Mataifa waambiwa mauaji yanaendelea nchini Syria
Umoja wa Mataifa umesema kwamba kiasi ya watu 400 wameuawa nchini Syria tangu timu ya waangalizi wa Jumuiya ya Kiarabu ianze kazi ya kuangalia utekelezaji wa mpango wa amani mwezi Disemba mwaka jana.
Hali yazidi kuvurugika nchini Syria
Upande wa upinzani nchini Syria umekosoa ripoti ya tume ya wachunguzi wa Umoja wa Nchi za Kiarabu, huku Rais Bashar al Assad naye akiyalaumu makundi ya kigeni kutaka kuleta vurugu nchini mwake.
Assad kulihutubia taifa leo kuhusiana na 'masuala ya ndani'
Rais Bashar Al Assad wa Syria anatarajiwa kulihutubia taifa hivi leo kuhusiana na masuala ya ndani ya nchi, ya kimataifa na ya eneo la Mashariki ya Kati, huku shinikizo na upinzani dhidi yake ukiongezeka siku hadi siku.
Jumuiya ya Kiarabu bado kuomba uingiliaji kati wa Umoja wa Mataifa
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imekubali kuruhusu timu ya waangalizi wake kubakia nchini Syria kumaliza kazi yao ya mwezi mmoja, na imejizuia kuomba uingiliaji kati wa Umoja wa Mataifa kama ilivyokuwa imefikiriwa mwanzo.
Jumuiya ya Kiarabu yaruhusu waangalizi wake kubakia Syria
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Kiarabu wameamua kuiruhusu timu ya waangalizi wa Jumuiya hiyo, kukamilisha kazi yao ya mwezi mmoja nchini Syria, licha ya lawama kali zinazotolewa kwa waangalizi hao.
Ban Ki Moon ataka machafuko Syria yakome
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, ameelezea wasiwasi wake kuhusu hali inayoendelea kuzorota nchini Syria. Ni kufutia shambulizi la bomu la mtu wa kujitoa muhanga ambapo watu 26 waliuwawa mjini Damascus.
Milipuko minne yawauwa watu 29 mjini Baghdad, Iraq
Mabomu manne yameyatikisa maeneo yanayokaliwa na Waislamu wengi katika mji mkuu wa Iraq Baghdad na kuwauwa takriban watu 29 na kuwajeruhi wengine wengi hii leo.
Waangalizi wa Arab League watakiwa kuondoka Syria
Waandamanaji wanane wameuwawa Syria wakati Jumuiya ya Nchi za Kiarabu-Arab League ikitaka waangalizi wake waondoke nchini humo ikisema kuendelea kwa vitendo vya umwagikaji kunadhihaki mipango yao ya kurejesha amani.
Mapigano yaibuka nchini Syria huku maelfu ya waandamanaji wakijitokeza barabarani
Maelfu ya watu nchini Syria wamemiminika katika barabara za nchi hiyo katika maandamano makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa miezi kadhaa, wakiitisha kuvunjwa kwa utawala wa sasa wa rais Bashar al Assad.
Waangalizi wa nchi za umoja wa kiarabu kuzuru vitovu vya ghasia nchini Syria
Vikosi vya usalama vya Syria vimewauwa raia 14 zaidi huku waangalizi wa umoja wa nchi za kiarabu wakitarajiwa leo kuyazuru maeneo zaidi yanayoshuhudia machafuko.
Serikali ya Syria yawaachilia huru wafungwa 755
Syria imesema leo kuwa imewaachilia huru wafungwa 755 waliohusika katika maandamano ya kuipinga serikali, huku waangalizi wa umoja wa nchi za kiarabu Arab League, wakiyazuru maeneo yanayokabiliwa na ghasia.
Waangalizi kuzuru vitovu vya maandamano Idlib, Daraa, na Hama nchini Syria
Mkuu wa kundi la waangalizi la Umoja wa nchi za Kiarabu, Arab League, nchini Syria amesema ana matumaini kuhusu ujumbe wake unaolenga kumaliza miezi tisa ya michafuko nchini humo.
Vifaru vya Syria vyaondoka Homs, waangalizi wawasili
Vifaru vimeanza kuondoka katika mji wa Homs vilivyokuwa vimeuzingira kwa siku kadhaa, huku waangalizi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wakiwasili kwenye mji huo kutathmini madhara ya operesheni ya kijeshi iliyouwa watu 34.
Waangalizi kukutana na Waziri wa Nje wa Syria
Wajumbe wa Umoja wa Nchi za Kiarabu leo wanatazamia kukutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Walid Muallem, kama sehemu ya makubaliano ya kuumaliza umwagaji damu nchini humo
Zaidi ya watu 30 wauwawa na wengine 100 kujeruhiwa katika milipuko ya bomu Damascus
Milipuko miwili imesikika mjini Damascus leo kabla ya kuanza kwa maandamano ya kuupinga ujumbe wa wangalizi wa jumuiya ya Kiarabu uliowasili nchini humo hapo jana kwa lengo la kumaliza umwagikaji damu
Umoja wa Ulaya washutumu mashambulio nchini Iraq
Umoja wa Ulaya umeshutumu vikali mashambulio ya mabomu jana mjini Baghdad na kusababisha watu 67 kuuwawa.
Zaidi ya 50 wauawa nchini Iraq
Huku viongozi wa kisiasa wa Iraq wakiwa katika mgogoro wa kimadaraka na kisheria, inaonekana vurugu zinazotokana na madhehebu zimeanza tena nchini humo, baada ya makumi ya watu kuuawa hivi leo katika miripuko ya mabomu.
22.12.2011
Watu 57 wameuwawa asubuhi ya leo katika shambulio la bomu huko nchini Iraq huku mzozo wa kisiasa ndani ya serikali ukianza kushika kasi katika taifa hilo.
Iraq yaadhimisha mwaka mmoja leo huku hofu ikizidi kutanda nchini humo
Serikali ya Iraq imeadhimisha mwaka wake wa kwanza hii leo katika hali ya hofu kubwa huku waziri mkuu Nuri Al Maliki akitaka akabidhiwe makamu wa rais wa madhehebu ya Kisunni ili ajibu mashtaka ya ugaidi.
Hali yazidi kuwa mbaya Syria huku wajumbe wa jumuiya ya Kiarabu wakitarajiwa nchini humo leo
Mapigano makali yanaendelea katika mkoa wa kaskazini mwa Syria Idlib, huku wanaharakati wakisema takriban watu 111 wameuwawa muda mfupi tu kabla ya mkutano wa Jumuiya ya Kiarabu wa kumaliza miezi tisa ya umwagaji damu.
Syria yaendelea kutumia nguvu kukandamiza upinzani
Licha ya makubaliano yaliyofikiwa na Umoja wa Nchi za Kiarabu, Syria inaendelea kutumia nguvu dhidi ya wapinzani na wanajeshi wake wanaoasi kwenda kujiunga na upande wa upinzani.
Idadi ya waliouwawa yaongezeka nchini Syria
Kundi la waangalizi wa mataifa ya Kiarabu wanatarajiwa kwenda huko Syria kuangalia juu ya nchi hiyo inavyotekeleza itifaki ya makubaliano ya amani na umoja huo.
Waranti kumkamata makamu wa rais wa Iraq
Iraq imetoa waranti ya kumkamata makamu wa rais wa nchi hiyo Tareq al-Hashemi, kwa madai ya kuhusika na ugaidi.
Kundi la mwisho la wanajeshi wa Marekani laondoka Iraq
Kundi la mwisho la wanajeshi wa Marekani waliyokuwepo nchini Iraq limeondoka asubuhi ya leo na kuvuka mpaka kuingia Kuweit, ikiwa karibu miaka tisa baada ya uvamizi uliomuondoa madarakani Saddam Hussein.
Baraza la Kitaifa la Syria - Assad lazima aondoke
Baraza la Kitaifa la Syria linalojumuisha makundi ya upinzani ya Syria, SNC, linakutana Tunisia kutayarisha mkakati wenye azma ya kuipindua serikali ya Rais wa Syria Bashar al-Assad.
Urusi yalitaka Baraza la Usalama kuichukulia hatua Syria
Urusi imekabidhi rasimu mpya juu ya ghasia za Syria kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kutoa matumaini ya hatua kali kufuatia kuuwawa kwa askari 27 wa Syria na kuzusha vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Urusi yapendekeza azimio kulaani machafuko Syria
Urusi imependekeza mswada wa azimio katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kuhusiana na mzozo wa Syria.
Vikosi vya Marekani kuondoka rasmi Iraq
Majeshi ya Marekani yameshusha bendera yao nchini Iraq leo katika sherehe rasmi, kabla ya kuondoka kwao nchini humo miaka tisa baada ya uvamizi wenye utata uliofanywa na Marekani kumwondoa madarakani Saddam Hussein.
Wanajeshi 27 wauwawa nchini Syria
Waasi kutoka katika jeshi la Syria leo hii wameripotiwa kuwauwa wanajeshi 27 wa serikali, huku makundi ya haki za binadamu nchini humo, yakitaja majina ya maafisa 74 wanaodaiwa kuamuru kushambilia kwa waandamanaji.
131211 USA Irak Truppenabzug
Wiki chache kabla ya kuondoka majeshi ya Marekani nchini Iraq, Rais Barack Obama amethibitisha kuendelea kwa msaada wa nchi yake kwa serikali ya Iraq licha ya kumalizika kwa operesheni ya kijeshi.
Watano wauawa Yemen, 15 nchini Syria
Hata baada ya kusainiwa kwa makubaliano ya Rais Ali Saleh kuondoka madarakani nchini Yemen, na jitihada ya Jumuiya ya Kiarabu kumaliza machafuko ya Syria, bado mauaji yamekuwa yakiendelea katika mataifa hayo.
Baraza la Haki za Binadamu lalaani ukandamizaji Syria
Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limehimiza hatua kali kuchukuliwa dhidi ya Syria baada ya kupata ushahidi kuwa vikosi vya usalama vya Syria vimewaua na kuwatesa wapinzani wa serikali.
Umoja wa Ulaya waidhinisha vikwazo dhidi ya Iran na Syria
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya leo mjini Brussels, wamekubaliana kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran na Syria. Lengo ni kuishinikiza Iran kuhusu mradi wake wa nyuklia wenye utata na kuishinikiza Syria.
01.12.2011
Mripuko kutoka gari lililojazwa baruti umeua watu 10 katika soko la Khalis, kwenye mji mkuu wa Iraq, Baghdad, na amri ya kutotoka nje imetangazwa.
251111 Syrien Sanktionen
Raia wasiopungua 23 wameuwawa nchini Syria huku jumuiya ya nchi za kiarabu ikiiwekea vikwazo nchi hiyo. Uingereza imeipongeza hatua hiyo ikisema ni ishara kushindwa kwa utawala kutimiza ahadi zake hakutapuuzwa.
Sasa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuiwekea vikwazo Syria
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu inajiandaa kuweka vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Syria, baada ya serikali ya nchi hiyo kushindwa kusaini makubaliano ambayo yangeliruhusu waangalizi huru kuingia Syria.
Syria kutekeleza matakwa ya jumuiya za kiarabu au iwekewe vikwazo
Serikali ya Syria ina saa chache kukubali waangalizi wa kimataifa wakiwemo waandishi habari kuingia nchini humo na kuangalia mambo yanavokwenda la sivyo iwekewe vikwazo.
Wanajeshi walioasi serikali wasakwa Syria
Wanaharakati mjini Beirut wamesema majeshi nchini Syria yalivamia maeneo kadhaa ya mji mkuu Damascus wakiwasaka wanajeshi walioasi
Umwagaji damu waendelea Syria
Mzozo wa Syria unaendelea kusababisha umwagaji damu nchini humo, licha ya Umoja wa Nchi za Kiarabu kuitaka serikali ya Rais Bashar al-Assad kuacha kutumia mabavu dhidi ya waandamanaji.
Wapinzani waitisha maandamano Syria
Waasi wa Syria wanáandamana leo kuwashinikiza viongozi wa dunia wawafukuze mabalozi wa Syria na wazidi kuitenga serikali ya Damascus huku Uturuki ikionya vita vya wenyewe kwa wenyewe visije vikaripu Syria.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 56 wa 77
Ukurasa unaofuatia