You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Abu Bakar al-Baghdadi
Abu Bakar al-Baghdadi ni kiongozi wa kundi la kigaidi linalojiita “Dola la Kiislamu” (IS).
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Waasi wa Syria wakataa kusaini makubaliano zaidi
Mpango wa amani wa Syria unaelekea kuwa hatarini baada ya kiongozi wa waasi, Kanali Riyadh al-Asaad, kukataa masharti mapya ya serikali ya Syria yanayowataka waasi hao kuwaondoa wapiganaji wao katika maeneo ya mapigano.
Ban Ki Moon alaani mashambulizi mapya Syria
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon ameishutumu vikali serikali ya Syria kwa mashambulizi yake ya hivi karibuni dhidi ya raia. Ban ameitaka Syria kutimiza ahadi yake ya kusitisha operesheni zote za kijeshi.
Wahariri wamtaka Merkel aseme wazi, katika Jamhuri ya Czech
Wahariri wa magazeti leo wanazungumzia juu ya ziara ya Kansela Merkel katika Jamhuri ya Czeck na juu ya mgogoro wa Syria.Wasema kusimamisha mapambano hukutaleta manufaa Syria hali Assad akiwa madarakani.
Wakaguzi kufika Syria katika masaa 48
Kikundi cha kwanza cha maafisa kutoka idara ya masuala ya kusimamia amani ya Umoja wa Mataifa kinatarajiwa kufika mjini Damascus katika muda wa masaa 48, kuandaa ujumbe utakaosimamia kusitishwa kwa ghasia nchini Syria.
Mapigano yaendelea Syria
Mapigano makali baina ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa upande wa upinzani yameendelea leo nchini Syria, licha ya Rais Bashar al-Assad kukubali kutekeleza mpango wa amani uliopendekezwa na Kofi Annan.
Syria yakubali muda wa kusimamisha ghasia
Syria imekubali tarehe 10 Aprili kama muda wa mwisho kuanza kutekeleza mpango wa amani uliopendekezwa na mjumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Kofi Annan.
Wapinzani Syria kuendeleza mapambano
Wapinzani nchini Syria wameitisha mandamano baada ya swala ya Ijumaa kupinga maazimio ya Jumuiya ya Umoja wa nchi za Kiarabu kuhusu mgogoro wa Syria baada ya Mkutano wao Mjini Baghdad siku ya Jumatano
Mkutano wa waarabu waijadili Syria
Mkutano wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu umeanza Alhamisi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, kujadili mpango wa kurejesha amani nchini Syria. Wakuu wa nchi wapatao 10 wanashiriki katika mkutano huo.
Annan: Assad aukubali mpango wa amani
Huku mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kwa Syria, Kofi Annan, akisema kwamba Rais Bashar al-Assad ameukubali mpango wake wa amani, mapigano na mauaji yameendelea ndani ya nchi hiyo.
Mke wa Assad naye awekewa vikwazo
Umoja wa Ulaya umewawekea vikwazo vya kusafiri, na kuzuia mali zao zilizoko ndani ya nchi wanachama wa Umoja huo, jumla ya watu 12 wa karibu wa Rais Bashar Assad akiwemo Mkewe, Asma al Assad.
Wahariri wasema mtuhumiwa siyo kichaa
Wahariri wa magazeti wanatoa maoni juu ya mtuhumiwa wa mauaji ya mjini Toulouse na juu ya azimio kuhusu Syria.Wahariri hao wanasema siyo sawa kutamka kuwa mtuhumiwa ni kichaa
Baraza la Usalama laijadili Syria
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linaanza kujadili rasimu ya tamko la mataifa ya Magharibi juu ya Syria lililowasilishwa na Ufaransa huku Urusi ikitaka usitishwaji wa mapigano wa muda kuruhusu msaada wa kibinaadamu.
Annan alitaka baraza la usalama kuondoa mkwamo
Mjumbe maalum wa umoja wa mataifa na mataifa ya Kiarabu ,Arab League, kuhusu mzozo wa Syria ,Kofi Annan ,amelihimiza baraza la usalama la umoja wa mataifa kuondoa mkwamo uliopo ili kumaliza ghasia nchini Syria
Wasyria waitisha maandamano mengine makubwa
Wanaharakati Syria wametoa wito wa kufanyika maandamano nchi nzima kudai "vikosi vya kimataifa viingilie kati haraka" huku mjumbe maalum wa kimataifa, Kofi Annan, akijiandaa kuzungumza na Baraza la Usalama.
Obama na Cameron wazidi kuzibana Iran, Syria
Rais Barack Obama wa Marekani na Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron, wakubaliana kuongeza shinikizo dhidi ya Syria na Iran na kusaidia Afghanistan kiusalama kabla ya kuondoka kwa majeshi ya kigeni mwaka 2014.
Mwaka mmoja wa machafuko nchini Syria
Vuguvugu la maandamano ya umma dhidi ya Rais Bashar al-Assad limedumu kwa muda wa mwaka mmoja tangu lilipoanza. Ulimwengu ungali umegawanyika kuhusu jinsi ya kuumaliza mgogoro huo.
Yapasa kuingilia kati Syria,wasema wahariri
Wahariri wa magazeti leo wanatoa maoni juu ya Syria , mgogoro wa madeni barani Ulaya na juu ya hatua ya kusimamisha mapambano Mashariki ya Kati.
Vikosi vya Assad vyaikamata Idlib
Huku Mjumbe wa Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kiarabu kwa Syria, Kofi Annan, akipokea majibu ya Rais Bashar al-Assad, vikosi vya serikali vimelichukua jimbo la Idlib kutoka upinzani baada ya mapigano makali.
Marekani na Urusi zaligawa baraza la Usalama
Malumbano kati ya Marekani na Urusi kuhusu mgogoro wa Syria yamekwamisha juhudi za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuafikiana juu ya hatua zinazopaswa kuchukuliwa kuumaliza mgogoro huo.
Juhudi za kumaliza umwagaji damu nchini Syria zashika kasi
Baadhi ya nchi za kiarabu na wanachama wa upande wa upinzani wanatoa mwito jeshi huru la Syria lipatiwe silaha .
Annan akutana na Assad
Mjumbe maalum wa umoja wa mataifa na mataifa ya Kiarabu Kofi Annan akutana na rais Bashar al-Assad kutoa msukumo kwa ajili ya kuwapo kwa suluhisho la kisiasa nchini humo.
Syria mapambano zaidi
Wanaharakati wa upinzani nchini Syria wamesema vikosi vya serikali nchini humo vimewauwa takriban raia 21 katika mapambano ya kusimamisha maandamano dhidi ya rais Bashar Al Assad.
Mkuu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa yuko Syria
Syria imesema iko tayari kushirikiana na ujumbe wa masuala ya kiutu wa Umoja wa Mataifa unaozuru nchini humo ili kutafuta ruhusa ya kuingia katika miji inayokumbwa na mashambulio.
Jeshi la Syria linaihujumu Miji ya Rastane na Yabrud
Jeshi la Syria linaendelea na hujuma zake licha ya shinikizo la kimataifa huku mjumbe wa umoja wa mataifa na jumuia ya nchi za kiarabu,Kofi Annan akitarajiwa kuwasili jumamosi ijayo nchini humo .
Ban Ki-moon aitaka Syria kuruhusu misaada ya kiutu
Umoja wa mataifa umedai siku ya Ijumaa kuwa Syria iruhusu misaada ya kiutu baada ya ujumbe wa kutoa misaada wa shirika la msalaba mwekundu uliokwenda katika mji uliozingirwa na majeshi ya nchi hiyo wa Homs kuzuiwa.
Mauaji mjini Homs
Koffi Annan asema atamuomba Bashar Al Assad kushiriki katika juhudi za jamii ya kimataifa kupata Suluhu nchini Syria. Wakati huo huo vikosi vya serikali vimeingia Baba Amr kuendeleza ghasia dhidi ya upinzani.
Machafuko yaendelea Syria
Jeshi la Syria limeendelea kuushambulia mji wa Homs (29.02.2012), wakati Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likiandaa rasimu ya azimio jipya , linaloitaka Syria kuruhusu uingizwaji wa misaada ya kibinadamu.
Huenda Assad akachukuliwa kama mhalifu wa kivita
Marekani imesema rais Bashar al-Assad wa Syria huenda akachukuliwa kama mhalifu wa kivita, huku China ikisema inaunga mkono juhudi za kimataifa za kutuma misaada ya kibinaadamu nchini Syria.
Ujumbe wa Syria watoka nje ya mkutano wa Geneva
Ujumbe wa Syria ambao unahudhuria mjadala wa umoja wa mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Syria umetoka katika ukumbi wa mkutano huo leo ukidai kuwa ni jukwaa la kuficha ukweli.
Hali ya Syria bado sio Shwari
Watu watatu wameuwawa katika mashambulio ya mizinga ya majeshi ya serikali huko Syria katika mji wa Homs huku matokeo ya kura ya maoni ya tarehe 26 Februari juu ya katiba mpya yakitarajiwa kutangazwa.
Mbinyo wazidi dhidi ya Assad, msaada wafika Homs
Mataifa ya magharibi na yale ya Kiarabu yameongeza mbinyo dhidi ya serikali ya rais Assad wakati shirika la msalaba mwekundu limesema hatimaye limeweza kuwafikia watu waliojeruhiwa katika mji wa Homs.
Walimwengu wakutana Tunis kuzungumzia Syria
Wawakilishi wa mataifa ya magharibi na wa jumuiya ya nchi za kiarabu wanaohudhuria mkutano wa "Marafiki wa Syria" mjini Tunis wametoa mwito misaada ya kiutu iruhusiwe kuepekwa Syria
Marafiki wa Syria wakutana mjini Tunis
Baada ya maaazimio kadhaa ya Umoja wa Mataifa kushindwa kuleta suluhisho nchini Syria, jumuiya ya kimataifa sasa inatafakari njia nyingine za kuushinikiza utawala wa nchi hiyo.
Waandishi habari wauwawa Syria
Vikosi vya rais wa Syria Bashar al Assad vinaendelea kufanya mashambulizi zaidi katika mji wa Homs ambapo hii leo watu 19 wameuwawa wakiwemo waandishi habari wawili kutoka nchi za magharibi.
China yataka machafuko yasitishwe nchini Syria
China imesema leo Jumamosi (18.02.2012) kuwa inaunga mkono mipango ya Rais wa Syria Bashar al-Assad, kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya na uchaguzi utakaokubalia mfumo wa vyama vingi vya kisiasa
Baraza kuu la Umoja wa Mataifa lapitisha azimio dhidi ya Syria
Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio linalotaka ukandamizaji nchini Syria ukome mara moja. Azimio linamtaka rais wa Syria, Bashar al Assad aondoke madarakani.
Vikosi vya Syria vyaendeleza mashambulizi dhidi ya wapinzani
Vikosi vya Syria vimeushambulia mji wa Deraa hii leo katika juhudi za kujaribu kuwachakaza wanajeshi walioasi katika mji huo ambamo upinzani dhidi ya rais wa nchi hiyo, Bashar al Assad, ulianza Machi mwaka jana.
Bomba la mafuta lalipuliwa Homs
Nchini Syria kumefanyika hujuma kwenye bomba la mafuta na kusababisha moto mkubwa katika mji wa Homs ambao kwa wiki mbili zilizopita umeshuhudia kiwango kikubwa cha ghasia na operesheni za jeshi la serikali.
Pillay alaani ghasia Syria
Mkuu wa kamisheni ya kutetea haki za binaadam wa Umoja wa Mataifa Navi Pillay amemshutumu rais wa Syria Bashar Al Assad kwa kuanzisha mashambulizi makali dhidi ya upinzani unaodai demokrasia.
14.02.2012
DW:Damu yaendelea kumwagika huko Syria huku mkuu wa kamisheni ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Navy Pillay aulaumu umoja huo kwa kushindwa kukomesha ghasia Syria.
Jeshi la Syria laanza tena kuushambulia mji wa Homs
Majeshi ya Syria leo hii yameanza tena kuushambuliwa mji wa maandamani wa Homs, baada ya serikali ya nchi hiyo kukataa mpango wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wa kutaka kupelekwa vikosi vya kulinda amani nchini humo.
11.02.2012
Deutsche-Welle: Mabomu yaliyotegwa ndani ya magari yakilenga vituo vya usalama huko Alepo nchini Syria yameangamiza maisha ya watu 28 na kujeruhi 235.
Watu 28 wauwawa katika shambulio la bomu Syria
Mabomu mawili yaliyotegwa katika magari yakilenga vituo vya usalama katika mji wa Aleppo yameuwa kiasi watu 28, huku waasi wakiishutumu serikali ya nchi hiyo kwa kuanzisha mashambulizi ili kuepuka lawama.
Israel yaonya silaha za Syria kuangukia Hizbullah
Watu 31 wameuwawa Syria baada ya vikosi vya Jeshi la Rais Bashar al- Assad kuushambulia mji wa Homs, huku Israel ikionya juu ya uwezekano wa silaha za Syria kupelekwa kwa kundi la Hizbullah la Lebanon.
Wahariri wasema Assad ataondoka tu!
Damu inaendelea kumwagika nchini Syria hasa baada ya Rais Assad kuimarishwa na kura za turufu za Urusi na China kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na ziara ya Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov.
Mashambulizi mapya yaripotiwa Syria
Vikosi vya Syria hii leo (08.02.2012) vimeyashambulia maeneo ya mkoa wa Homs kwa siku ya tano mfululizo, na kuwauwa karibu watu 47. Eneo hilo ni kitovu cha maandamano ya kuupinga utawala wa Assad.
08.02.2012
DeutscheWelle:Watu 47 wameuwawa Homs majeshi ya Syria yalipoivamia ngome hiyo ya wanaodai mageuzi-muda mfupi baada ya rais Assad kuzungumza na waziri Lavrov wa Urusi
Lavrov awasili Syria
Majeshi ya Syria yameuzingira mji wa Homs na kufanya mashambulizi makubwa wakati huu ambapo Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Urusi, Sergei Lavrov, akiwasili nchini humo kwa ajili ya mazungumzo na Rais Bashar al-Assad.
Mambo yatokota Syria, 50 wauwawa Homs
Vikosi vya serikali nchini Syria vimeushambulia mji wa Homs hii leo (06.02.2012), na kuwauwa watu 50 katika mashambulizi yanayoendelea katika wilaya kadhaa za mji huo. Nazo Urusi na China zimetetea kura zao za turufu.
Mgogoro wa Syria Magazetini
Kura ya turufu ya Russia na China dhidi ya mswaada wa nchi za magharibi na za kiarabu dhidi ya Syria na athari za kukeketwa wasichana ndizo mada zilizohanikiza magazetini hii leo nchini Ujerumani.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 55 wa 77
Ukurasa unaofuatia