You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Abu Bakar al-Baghdadi
Abu Bakar al-Baghdadi ni kiongozi wa kundi la kigaidi linalojiita “Dola la Kiislamu” (IS).
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Vikwazo vya silaha Syria kujadiliwa wiki ijayo
Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya watapitia upya mapendekezo ya kuondoa vikwazo vya silaha dhidi ya Syria, baada ya viongozi wa umoja huo kushindwa kukubaliana kuhusu suala hilo jana Ijumaa (15.03.13).
Syria miaka miwili vitani
Leo ni miaka miwili tangu ghasia kuanza Syria huku rais wa nchi hiyo Bashar al-Assad akikataa kuondoka madarakani na viongozi wa Umoja wa Ulaya wakitofautiana kuhusu njia za kukomesha umwagikaji damu.
Upinzani wagawanyika Syria
Huku makundi yanayotaka kumuondoa madarakani Rais Bashar al-Assad wa Syria yakizidi kupata nguvu kwa kuteka maeneo kadhaa nchini humo na Uingereza ikisema huenda ikawapa silaha waasi hao.
Mapambano makali Syria
Waasi wa Syria wana miazi 2 tu ya kuiteka barabara kuu itokayo mjini Damascus kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa nchi hiyo, licha ya kukabiliwa na mapigano makali kutoka kwa vikosi vya utawala wa Bashar Al-Assad
Miripuko yaitikisa Damascus, zaidi ya 53 wauawa
Miripuko isiyopungua minne ya mabomu imeutikisa mji wa Damascus, moja wapo karibu na makao makuu ya chama tawala nchini Syria cha Baath, na kuua watu wasiyopungua 53.
Jeshi huru la waasi Syria latoa onyo kali kwa Hezbollah
Kamanda wa jeshi huru la waasi nchini Syria ameonya kuwa jeshi lake litafanya mashambulizi dhidi ya kundi la Hezbolla nchini Lebanon iwapo hawatokoma kushambulia ngome zinazoshikiliwa na waasi wa Syria.
Utawala wa Obama wagawanyika kuhusu Syria
Utawala wa Rais Barack Obama unaonekana kugawanyika juu ya namna ya kuumaliza mgogoro wa Syria, huku baadhi ya maafisa waandamizi wakitaka waasi wapewe silaha kupambana na serikali ya Rais Bashar al-Assad.
Israel ilihusika na shambulio la Syria?
Israel imeonyesha ishara kwamba ilifanya mashambulizi ya anga nchini Syria wiki iliyopita, huku Rais Bashar al-Assad akilituhumu taifa hilo la Kiyahudi kwa kujaribu kuidhoofisha nchi yake ambayo inakumbwa na vita.
Upinzani Syria wafanikiwa Munich
Kiongozi wa upinzani wa Syria, Moaz al-Khatib, amekutana na maafisa wa Iran na Urusi kwenye mkutano wa usalama mjini Munich, Ujerumani, katika kile kinachoelezwa kama hatua ya kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Mkutano wa Munich na hatma ya mgogoro wa Syria
Maafisa wa Marekani, Urusi na Umoja wa Mataifa na kiongozi wa upinzani nchini Syria watahudhuria mkutano wa mwaka wa usalama mjini Munich leo(02.02.2013 kujaribu kufufua juhudi za kumaliza vita vya nchini Syria.
Israel yashambulia Syria
Jumuiya ya nchi za kiarabu hii leo imeishutumu Israel kwa kuishambulia Syria kwa makombora ya angani ikisema hatua hiyo ni dhahiri na ya wazi kuwa Israel inaingilia maswala ya mamlaka ya nchi za kiarabu.
Ban awasihi wapiganaji Syria kuheshimu utu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon ametoa wito kwa wapiganaji wote katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria kuacha mapigano kwa ajili ya kuthamini ubinaadamu.
Mauaji ya kikatili yafanyika Syria
Maiti zisizopungua 65 zimekutwa katika mji wa Aleppo, Kaskazini mwa Syria. Imeripotiwa kwamba maiti hizo ni za watu wanaoelekea kupigwa risasi kichwani na waliokuwa wamefungwa mikono nyuma ya migongo yao.
Mapigano zaidi Syria
Mashambulizi ya angani katika maeneo yanayoshikiliwa na waasi kusini magharibi mwa mji wa Damascus nchini Syria, yamesababisha vifo vya takriban watu ishirini
Ujerumani yatuma wanajeshi, mitambo ya Patriot Uturuki
Jeshi la Ujerumani leo (08.01.2013) limetuma wanajeshi wa kwanza nchini Uturuki, kama sehemu ya makubaliano ya Jumuiya ya Kujimhami NATO, kuilinda nchi hiyo dhidi ya makombora kutoka Syria.
Ujerumani yamtaka Assad aache maneno matupu
Wasyria wanahofia kuongezeka kwa vita baada ya hotuba ya jana ya Rais Bashar al-Assad huku mapambano yakizuka katika miji mbalimbali nchini humo na Ujerumani ikimtaka kiongozi huyo kuachana na kauli zisizo na maana.
Mataifa yamkosoa Assad na hotuba yake
Taasisi na mataifa mbalimbali duniani yamepinga hotuba ya Rais Bashar al-Assad wa Syria aliyoitoa Jumapili (6.1.2013) na kusema ni lazima angátuke ili kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyoendelea nchini mwake.
Waliokufa Syria wafikia 60,000
Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watu waliouwawa nchini Syria imeongezeka hadi kufikia 60,000 katika mapigano ambayo mpaka sasa haijafahamika kikomo chake.
Syria yaanza mwaka kwa mapigano zaidi
Waasi nchini Syria hii leo wameongeza mashambulizi yao dhidi ya uwanja wa ndege unaodhibitiwa na jeshi la serikali, katika mkoa wa kaskazini wa Idlib
Brahimi aonya kuhusu hali mbaya kabisa Syria
Mjumbe wa kimataifa anayeshughulikia mpango wa amani nchini Syria, Lakhdar Brahimi ameonya kwamba hali nchini humo itakuwa mbaya sana iwapo pande zote zonazozozana zitasusia mazungumzo.
Brahimi ahimiza mabadiliko ya "kweli" Syria
Urusi inataraji kukutana na maafisa wa Marekani kuhusu mgogoro wa Syria mwezi ujao kujadili pamoja na mjumbe wa kimataifa Lakhdar Brahimi, pendekezo lake kuhusu kumaliza mgogoro huo uliodumu miezi 21.
Maandamano ya wasunni yarindima Iraq
Maandamano mapya dhidi ya waziri mkuu wa Iraq yanafanyika katika miji ambayo zaidi inakaliwa na wasuni na kusababisha barabara kuu ya kuelekea katika nchi za Syria na Jordan kufungwa
Mwaka wa maafa zaidi kwa waandishi wa habari
Shirika la Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka limesema mwaka huu wa 2012 ndiyo ulikuwa wa maafa zaidi kwa waandishi wa habari ulimwenguni. Limeyasema hayo katika ripoti yake ya mwaka iliyotolewa tarehe 19.12.2012.
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamtaka Assad ang'oke madarakani
Viongozi wa taifa na serikali wa nchi 27 za umoja wa ulaya wamemaliza mkutano wa siku 2 kwa kukubaliana kuhusu mikakati ya kumaliza migogoro ya fedha katika kanda ya Euro,na kuhimiza umwagaji damu ukome Syria
Utawala wa Assad ukingoni - NATO
Jumuiya ya Kujihami ya NATO imesema Rais Bashar al Assad huenda akashindwa kuendelea kubakia madarakani hivi karibuni, huku Marekani ikipeleka makombora ya Patrioit mpakani mwa Uturuki na Syria.
Mapigano yazidi kuinyemelea Damascus
Bomu lililotegwa kwenye gari limeuwa watu 16 nje ya mji mkuu wa Damascus leo masaa machache baada ya mripuko wa bomu kumjeruhi waziri wa mambo ya ndani wakati Urusi ikiungama kwamba utawala huo unaweza kushindwa na waasi
"Makombora ya Scud yatumika Syria"
Maafisa wa Marekani wamesema jeshi la Syria limekuwa likiwafyatulia makombora ya aina ya Scud waasi ambao wapo katika jaribio la kutaka kuung'oa madarakani utawala wa rais Bashar al-Assad wa taifa hilo.
Marekani na Marafiki wa Syria wanautambua muungano wa upande wa upinzani wa Syria
Rais Obama wa Marekani amezidisha shinikizo dhidi ya rais Assad wa Syria kwa kuutambua muungano wa upande wa upinzani wa nchi hiyo.Urusi imeukosoa vikali uamuzi huo.
Mapigano zaidi Syria
Vikosi vya serikali ya Bashar Al Assad vimeripotiwa kufanya mashambulizi katika maeneo ya waasi nchini Syria na pia maeneo yalio nje ya mji mkuu Damascus
Putin na Erdogan kujadili mzozo wa Syria
Makombora na ndege za kivita za Syria zimeshambulia maeneo ya waasi ndani na nje ya mji mkuu Damascus katika operesheni ya kuudhibiti mji huo,wakati Urusi na Uturuki zinajitayarisha kwa mazungumzo juu ya Syria.
Ndege yadunguliwa rubani atekwa Syria
Waasi nchini Syria wamemteka nyara rubani wa ndege ya serikali baada ya kuidungua ndege hiyo ya kijeshi katika eneo la Daret Ezza Kaskazini mwa mkoa wa Allepo. Mabomu yaua kiasi ya watu 34 Damascus.
Mauaji yaendelea Syria, wapiganaji wa kigeni wahusishwa
Mripuko wa bomu lililotegwa kwenye gari katika kizuizi cha usalama karibu na Damascus umesababisha vifo vya wanajeshi wawili huku mapigano yakipamba moto ndani ya mji mkuu huo na na kusini mwa Syria.
NATO kuipa ulinzi Uturuki
Nchi wananchama wa jumuiya ya kujihami ya NATO wamekubali kuipa Uturuki silaha za teknolojia ya hali ya juu kwa ajili ya ulinzi wa mpaka wake na Syria.
Waasi wa Syria waiteka kambi ya kijeshi
Waasi wa Syria wamesema leo (19.11.2012) kwamba wameiteka kambi kubwa ya jeshi kwenye barabara kuu kati ya mji wa Aleppo na mpaka na Uturuki.
William Hague kukutana na viongozi wa muungano wa upinzani Syria
Viongozi wa muungano wa upinzani nchini Syria ulioundwa hivi karibuni, leo wanatarajiwa kukutana na waziri wa mambo ya nje wa Uingereza William Hague mjini London.
Ufaransa yautambua muungano wa upinzani wa Syria
Ufaransa imekuwa nchi ya kwanza ya Magharibi yenye nguvu, kuutambua rasmi muungano wa upinzani wa Syria, kama mwakilishi pekee wa wananchi wa Syria.
Al-Khatib kuongoza wapinzani wa Syria
Wapinzani wa Syria wamemchagua Ahmed Moaz al-Khatib kuwa kiongozi wa muungano mpya ambao umewaunganisha wapinzani wa Rais Bashar al-Assad.
Upinzani Syria wakubaliana kuungana
Makundi ya upinzani nchini Syria yanayokutana mjini Doha,yamekubaliana kimsingi kuhusu mpango wa umoja dhidi ya rais Bashar al-Assad.Washiriki wa mkutano huo wamesema Jumapili(11.11.2012).
Hali kuwa mbaya zaidi Syria ifikapo mwakani
Umoja wa Mataifa umeonya kuwa idadi ya wakimbizi wa ndani wanaohitaji misaada ya kibinaadamu nchini Syria itafikia milioni nne kutoka milioni mbili na nusu ya sasa endapo mauwaji hayatasitishwa.
Upinzani Syria wasema lazima waungane dhidi ya vikosi vya serikali
Kiongozi wa kundi la upinzani Syria Abdulbaset Sieda amesema wanapaswa kuchukua jukumu muhimu katika hatua yoyote ya kuungana dhidi ya utawala wa Rais Bashar Al Assad.
Mapigano zaidi Syria
Nchini Syria bomu moja lililoegeshwa ndani ya gari liliripuka na kuutikisa mji wa Damascus mapema leo asubuhi
China yapendekeza mpango mpya kwa Syria
China imesema leo(01.11.2012)kuwa imependekeza mpango mpya utakaoweza kuzuwia ghasia nchini Syria,ikiwa ni pamoja na usitishaji wa mapigano kwa awamu kutoka jimbo hadi jimbo na kuanzisha chombo cha serikali ya mpito.
Syria yatakiwa kujenga upinzani imara
Marekani imetoa wito wa kufanyiwa mabadiliko uongozi wa upinzani nchini Syria, ikisema kuwa muda umefika sasa kupiga hatua na kuwaingiza wale wanaopigana katika mstari wa mbele wa mapambano nchini humo.
Maoni ya wahariri
Wahariri watoa maoni juu ya ziara ya Waziri Mkuu wa Uturuki nchini Ujerumani na juu ya mgombea Ukansela wa Ujerumani wa chama cha SPD Steinbrück na pia wanauzungumzia uvumi juu ya Ufaransa kufilisika
Brahimi ziarani China
Mjumbe maalum wa Kimataifa juu ya Syria, Lakhdar Brahimi amesema hii leo, kwamba anatumai China itachangia kwa kiasi kikubwa katika kupatikana amani nchini Syria.
Brahimi aondoka Urusi kuelekea China
Mjumbe wa amani wa Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya nchi za Kiarabu kuhusu Syria Lakhdar Brahimi leo anatarajiwa kuanza ziara ya siku mbili nchini China baada ya kuzuru Urusi
Uchaguzi wa Ukraine magazetini
Mada tofauti zimechambuliwa na wahariri wa magazeti ya Ujerumani hii leo,kuanzia mgogoro wa fedha nchini Ugiriki,bajeti ya mwaka 2013 ya Ujerumani,hali nchini Syria,Uchaguzi wa Ukraine na kadhalika.
Makubaliano ya kusitisha mapigano Syria yavunjika
Mapigano yameendelea nchini Syria karibu na mji wa Damascus na upande wa kaskazini Jumamosi(27.10.2012)baada ya kuvunjika kwa hatua ya kusitishwa mapigano iliyotangazwa kwa ajili ya sikukuu ya Kiislamu.
Utulivu Syria huku maeneo mengine yakiripotiwa mapigano
Shirika la televisheni la Syria leo asubuhi limemuonesha rais wa nchi hiyo Bashar Al Assad, akihudhuria sala ya Idd ul Adha.
Syria kutangaza kuacha mapigano
Serikali ya Syria leo hii inatarajiwa kutangaza uamuzi wake wa kusitisha kwa muda mapigano kama ilivyopendekezwa mpatanisha wa Umoja wa Mataifa wa mgogoro huo Lakhdar Brahimi. huku watu wataono wakiripotiwa kuuwawa.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 51 wa 77
Ukurasa unaofuatia