You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Abu Bakar al-Baghdadi
Abu Bakar al-Baghdadi ni kiongozi wa kundi la kigaidi linalojiita “Dola la Kiislamu” (IS).
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Assad:Ushindi hauko mbali
Rais Bashar al Assad wa Syria anazungumzia shinikizo la kufungua uwanja wa mapigano katika milima ya Golan katika wakati ambapo wanajeshi wake wamepania kuukomboa mji wa Qusseir unaoshikiliwa na waasi.
Marekani yaitaka Hizbollah kuondoka Syria
Marekani imewataka wapiganaji wa kundi la Hizbullah kuondoka mara moja nchini Syria ambako wanaripotiwa kushirki katika operesheni mjini Qusayr. Kuwepo kwa Hizbollah pia kumelaaniwa na Umoja wa Mataifa.
Maoni ya wahariri juu ya "silaha kwa waasi wa Syria"
Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya kimsingi wamekuabliana kundoa vikwazo vya silaha dhidi ya Syria.Maana ya hatua hiyo ni kwamba nchi za Umoja wa Ulaya zinaweza kuwapelekea silaha wapinzani wa serikali.
Ulaya yaondoa vikwazo vya silaha kwa waasi Syria
Mawaziri wa masuala ya nchi za nje wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kuondoa vikwazo vya silaha kwa waasi wa Syria, huku wenzao wa Urusi na Marekani wakijadili mkutano wa kumaliza vita kwa njia ya mazungumzo.
Mchakato wa kutafuta amani Syria
Juhudi za kimataifa za kuumaliza mzozo wa Syria zimeshika kasi huku kukitarajiwa mazungumzo muhimu mijini Brussels na Paris kutafuta ufumbuzi wa mzozo wa Syria licha ya kuwepo migawanyiko miongoni mwa makundi ya upinzani
Syria na Kasheshe ya ndege bila ya rubani magazetini
Hali nchini Syria,kishindo cha ndege inayorushwa bila ya rubani na kashfa ya kupendeleana katika chama cha CSU ni miongoni mwa mada zilizogonga vichwa vya habari vya magazeti ya Ujerumani.
Makabiliano makali yaendelea Qusayr, Syria
Wapiganaji 30 wa kundi la wanamgambo la Hezbollah wanaripotiwa kuuwawa katika mapigano yaliyotokea katika mji wa Qusayr nchini Syria huku wengine zaidi ya 70 wakijeruhiwa.
Assad asisitiza hatajiuzulu
Rais wa Syria Bashar al Assad amesisitiza kuwa hatajiuzulu kabla ya mwisho wa kipindi chake madaraka mwaka 2014, wakati bomu lililotegwa katika gari liua watu watatu katika mji mkuu Damascus.
John Kerry kuzuru mashariki ya kati na Afrika
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani John Kerry anatarajiwa kusafiri kwenda katika mataifa ya mashariki ya kati na Afrika kuanzia Jumanne ijayo kwa ziara itakayomchukua hadi Mei 27.
Juhudi za kukusanya misaada kwaajili ya Syria
Vita vinaendelea Syria na mashirika ya misaada yanapata shida kuendeleza shughuli zao hasa katika maeneo yanayodhibitiwa na serikali .Kuna ukosefu wa chakula ,maji na madawa.
Marekani haitaki kuingilia kati pekee mzozo wa Syria
Rais wa Marekani Barack Obama na waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan wamerudia wito wao wa kumtaka rais Bashar al Assad wa Syria kuachia madaraka.
Dunia yazidi kuisaka amani ya Syria
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, anakutana na Rais Vladimir Putin wa Urusi na Rais Barack Obama wa Marekani anafanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Uturuki, Tayyip Erdogan, juu ya Syria.
Maoni ya wahariri juu ya mshuko wa uchumi barani Ulaya,na juu ya Syria
Wahariri wanatoa maoni juu ya mshuko wa uchumi katika Ukanda wa sarafu ya Euro, na juu ya dhima ya Ulaya katika mgogoro wa Syria.Ufuatao ni muhtasari wa maoni hayo
Umoja wa Mataifa wapitisha azimio la kumlaani Assad
Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuulaani utawala wa rais Bashar al-Assad na kuusifia upinzani, lakini kiwango cha uungwaji mkono wa azimio hilo kimeshuka kulinganishwa na mwaka jana.
Umoja wa Mataifa kuidhinisha azimio la Syria
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kuidhinisha azimio linaloungwa mkono na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu likipendekeza kipindi cha mpito cha kisiasa nchini Syria
Obama, Cameron wamshinikiza Putin kuhusu Syria
Marekani na Uingereza zimeongeza shinikizo kwa Urusi juu ya mgogoro wa Syria, lakini rais Barack Obama ameonya kuwa hakutakuwa na suluhisho la haraka la mgogoro huo, huku jeshi la Assad likipata mafanikio zaidi.
Jeshi la Syria ladhibiti barabara muhimu sasa
Vikosi vya serikali ya Syria vinadhibiti barabara kuu inayounganisha mji wa Damascus na nchi jirani ya Jordan,ikiwa ni kusongambele kwa jeshi la serikali katika kampeni ya kuwaondoa waasi kutoka eneo muhimu la kusini.
Urusi na Marekani yafufua mazungumzo kuhusu Syria
Iwapo Urusi imeamua kuchukua jukumu la kuleta pande mbili zinazozana katika vita vya Syria katika meza ya mazungumzo ya amani ni kwasababu ya dalili kuwa Marekani huenda ikajipata polepole katikati ya mzozo huo
Syria yatishia kujibu mashambulizi ya Israel
Syria imetishia kujibu mashambulio yoyote mapya kutoka Israel huku washirika wake wanamgambo wa Hezbolla wakisema Syria itawapa silaha zitakazobadili kile walichokitaja kuwa silaha za kubadilisha hali ya mambo.
Marekani yasema Assad asiwe katika serikali ya mpito
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani John Kerry amesema rais wa Syria Bashar al-Assad atapaswa kuondoka madarakani, kama sharti la mpango wowote wa kuusuluhisha mgogoro wa Syria kupitia njia za kisiasa.
Urusi na Marekani kuandaa mkutano kuhusu Syria
Baada ya miezi kadhaa ya kutofautiana vikali, hatimaye Urusi na Marekani zimekubaliana kuzishinikiza pande zote zinazohusika katika mgogoro wa Syria kutafuta suluhisho la kumaliza umwagaji damu
Mafashisti mamboleo NSU, mahakamani
Wahariri wanazungumzia juu ya kesi kubwa inayowakabili mafashisti mamboleo wa Ujerumani, na juu ya mgogoro wa Syria.
John Kerry ziarani Moscow
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani John Kerry amewasili Moscow kwa mazungumzo pamoja na rais Vladimir Putin kuhusu mzozo wa Syria na jinsi ya kuimarisha uhusiano kati ya mahasimu hao wawili wa vita baridi.
Kesi ya magaidi wa NSU
Kesi ya mauwaji dhidi ya wafuasi 5 wa vuguvugu la chini kwa chini la wazalendo wa kijamaa,hujuma za Israel dhidi ya Syria na mkutano mkuu wa chama cha kiliberali ni miongoni mwa mada zilizopewa umuhimu zaidi magazetini.
Silaha za sumu zilitumika Syria
Waasi nchini Syria walitumia sumu ya Sarin inayoathiri neva za ubongo katika vita vya Syria.Hayo ni kulingana na mchunguzi wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Carla del Ponte
Israel yashambulia tena Syria
Israel imefanya shambulio la roketi dhidi ya kituo cha utafiti wa sayansi cha Jamraya kilichoko karibu na mji mkuu Damascus usiku wa kuamkia Jumapili,(05.05.2013), limeeleza shirika la habari la Syria SANA.
Ndege za Israel zashambulia Syria
Israel imefanya shambulio la anga dhidi ya shehena ya makombora ya Syria yaliokuwa yakisafirishwa kupelekwa kwa kundi la wapiganaji wa Hezobollah lilioko katika nchi jirani ya Lebanon.
Obama haoni uwezekano wa kupeleka jeshi Syria
Rais wa marekani Barack Obama amekaribia siku ya Ijumaa(03.05.2013) kuamua kutowapeleka wanajeshi wa Marekani nchini Syria,akisema kuwa haoni uwezekano ambao hatua hiyo italeta manufaa kwa Marekani ama Syria.
Serikali ya Assad yazidi kulaumiwa
Kundi la Upinzani nchini Syria limesema kwamba utawala wa rais Bashar Al Assad ndio uliohusika katika mashambulio dhidi ya kijiji cha wasunni na kusababisha mauaji ya watu 50.
Mzozo wa Syria wachacha
Majeshi ya Syria yamezidisha mashambulio dhidi ya waasi katika mji wa Homs yakisaidiwa na wataalam wa kivita kutoka Iran na kikundi cha Hezbollah kutoka Lebanon
Syria yazidi kushinikizwa kuhusu silaza za kemikali
Syria inazidi kushinikizwa kufungua milango kwa wachunguzi wa silaha wa kimataifa ambapo marais wa Marekani na Urusi wamejadili suala hilo, huku Katibu Mkuu wa UN naye akiitaka serikali yake kutoa ushirikiano kamili.
Iraq yaifungia Al-Jazeera, vituo vingine tisa
Seriakli ya Iraq imekifungia kituo cha televisheni cha kimataifa cha Aljazeera na vituo vingine tisa vya nchini humo siku ya Jumapili, baada ya kivituhumu kwa kuchochea vurugu za kidini.
Syria yakanusha madai kuhusu silaha za kemikali
Syria imekanusha madai ya Marekani na Uingereza kuwa ilitumia silaha za kemikali, huku mshirika wake mkuu Urusi ikionya dhidi ya kutumia hofu hiyo kuingilia kijeshi katika nchi hiyo iliyoharibiwa vibaya na vita.
Rais Obama aionya Syria
Rais wa Marekani Barrack Obama, ametoa onyo jipya kwa Syria kwamba matumizi ya silaha za maangamizi makubwa dhidi ya raia nchini humo huenda likapelekea kubadilisha msimamo wa Marekani juu ya kuingilia kijeshi Syria.
Silaha za kemikali zilitumika Syria
Marekani imesema serikali ya Assad ilitumia silaha za kemikali katika vita nchini Syria lakini imesisitiza kuwa Rais Barrack Obama anahitaji ushahidi zaidi kabla ya kuchukua hatua yoyote.
Hakuna ushahidi wa matumizi ya silaha za Sumu Syria: Hagel
Waziri wa ulinzi wa Marekani Chuck Hagel amesema kwamba tahadhari kubwa inapaswa kuchukuliwa kabla ya kufanya uamuzi wowote juu ya madai kwamba serikali ya Syria imetumia silaha za sumu dhidi ya waasi.
Wahariri , juu ya ndoa za jinsia moja
Pamoja na masuala mengine wahariri hao leo wanazungumzia juu ya uamuzi wa Bunge la Ufaransa wa kuzipitisha ndoa za jinsia moja.
Maoni ya wahariri,juu ya Syria,Ugiriki na Napolitano
Wahariri wanauzungumzia msimamo wa Ujerumani juu ya Syria,na pia wanatoa maoni juu ya kuchaguliwa tena kwa Rais wa Italia Napolitano.
Umoja wa Ulaya kusaidia waasi Syria
Umoja wa Ulaya umekubali kulegeza vikwazo dhidi ya Syria ili kuruhusu waasi nchini humo kuuza mafuta katika hatua inayonuiwa kuwapa waasi hao uwezo wa kifedha.
Watu milioni saba wahitaji msaada wa kibinaadamu Syria
Wakati mzozo wa Syria ukiendelea kugharimu maisha ya watu Umoja wa Mataifa unasema kuwa takriban watu milioni saba wanahitaji msaada wa kibinaadamu na kuilaumu serikali ya nchi hiyo kwa kukwamisha usambazaji wa misaada.
Syria kuhodhi mkutano wa mawaziri wa nje wa G8
Waasi wa Syria kukutana na Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry na mawaziri wengine wa mambo ya nchi za nje wa Kundi la Mataifa Manane Tajiri Duniani G8 wanaokutana London leo Jumatano (10.11.2012).
Silaha za Libya zatapakaa Mali, Syria
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linasema kuwa silaha zilizotumika kumng'oa madarakini rais wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi, mwaka 2011, sasa zinatumika katika mapigano katika nchi 12 zikiwemo Mali na Syria.
Kerry kuishinikiza Uturuki kuhusu uhusiano na Israel, Syria na Iraq
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani John Kerry amewasili nchini Uturuki, katika ziara iliyozingwa na mauaji ya mwanadiplomasia wa kike katika shambulio la bomu nchini Afghanistan.
UN yaishiwa fedha kuwahudumia wakimbizi wa Syria
Umoja wa Mataifa umeonya siku ya Ijumaa juu ya upungufu mkubwa wa ufadhili kwa wakimbizi wa Syria, ukisema kuwa mashirika ya misaada yanaweza kupunguza huduma kwa ongezeko kubwa la wakimbizi.
Waasi Syria wateka mji muhimu
Waasi nchini Syria wameteka mji muhimu uliyoko katika barabara kuu inayounganisha mji wa Damascus na maeneo ya kusini mwa nchi hiyo, katika mafanikio yao ya hivi karibuni mkoani Daraa, katika mpaka na Jordan.
Assad aligeukia kundi la BRICS kumaliza vita Syria
Rais wa Syria, Bashar al Assad, amelitaka kundi la mataifa yanayoinukia kwa kasi kiuchumi, BRICS, kusaidia kumaliza machafuko nchini mwake na mateso yanayowakabili watu wake.
Maoni ya wahariri juu ya Syria,Brics
Wahariri wanazungumzia juu ya mgogoro wa Syria mkutano wa nchi zinazoinukia kiuchumi na pia wanatoa maoni yao juu ya msako uliofanywa katika asasi za kutetea demokrasia nchini Urusi.
Wapinzani wawakilisha Syria Jumuiya ya Kiarabu
Viongozi wa upinzani wa Syria wamekalia kwa mara ya kwanza kiti cha uwakilishi wa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu katika mkutano wa kilele wa viongozi wa mataifa hayo ulianza rasmi mjini Doha, nchini Qatar
Maoni ya wahariri juu ya ziara ya Obama, Mashariki ya Kati
Wahariri wa magazeti ya Ujerumani wanatoa maoni juu ya ziara ya Rais Obama katika Mashariki ya Kati kwa kukumbusha hotuba ya matumaini aliyoitoa mjini Cairo miaka miine iliyopita
Silaha za kikemia zashukiwa kutumiwa Syria
Kumekuwepo kushutumiana baina ya serikali ya Syria na waasi wanaoipinga, kila upande ukiutuhumu mwingine kutumia silaha za kikemia katika mashambulizi yaliyouwa watu zaidi ya 30 karibu na mji wa Aleppo jana.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 50 wa 77
Ukurasa unaofuatia