You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Abu Bakar al-Baghdadi
Abu Bakar al-Baghdadi ni kiongozi wa kundi la kigaidi linalojiita “Dola la Kiislamu” (IS).
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Maoni ya wahariri juu ya Ujerumani na Syria
Wingu la mashambulio linajikusanya katika anga ya Syria kufuatia habari juu ya kutumika kwa gesi ya sumu.Jee Ujerumani imesimama wapi? Wahariri wa magazeti wanatoa maoni yao.
Maoni ya wahariri juu ya Syria
Wahariri hao leo wanazungumzia juu ya mgogoro wa Syria, haki za wanawake nchini Ujerumani na juu ya mkasa wa aliekuwa Rais wa Ujerumani Christian Wulff.
Uingereza kuwasilisha azimio kuhusu Syria
Uingereza inatarajiwa kuwasilisha azimio kuihusu Syria kwa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa leo huku wachunguzi wa umoja huo wakiwasili katika ngome ya waasi viungani mwa Damascus kuendesha uchunguzi.
Operesheni ya kijeshi yanukia Syria bila UN
Uwezekano wa Umoja wa Mataifa kuidhinisha mashambulizi dhidi ya Syria ni mdogo sana, lakini tayari Marekani na washirika wake wanafanya maandalizi ya mashambulizi kupitia dhana ya uwajibikaji wa kimaadili.
Maoni ya wahariri juu ya Syria na Ugiriki
Katika maoni yao wahariri wa magazeti ya Ujerumani wanauzingatia mgogoro wa Syria na kampeni za uchaguzi nchini Ujerumani kuhusiana na mgogro wa madeni wa Ugiriki.
Marekani yapima mikakati ya kijeshi dhidi ya Syria
Kufuatia shambulizi la silaha za sumu lililoua mamia nchini Syria, yaonekana muda wa kutafuta suluhu ya muafaka umekwisha. Marekani inaona msitari mwekundu umevukwa, na inapima uwezekano wa kuingilia kijeshi.
Syria yakubali kukaguliwa, Marekani yasema imechelewa
Wakaguzi wa Umoja wa Mataifa wameanza kuchunguza madai ya matumizi ya silaha za kemikali karibu na mji wa Damascus wiki iliyopita, huku Marekani ikisema hatua ya Syria ya kukubali uchunguzi huo imekuja kuchelewa.
Kerry aitaka Syria kuruhusu uchunguzi
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani John Kerry amezungumza na waziri mwenzake wa Syria Walid al-Moualem Alhamisi(22.08.2013) na kumweleza kuwa serikali yake inapaswa kuruhusu wakaguzi wa silaha wa Umoja wamataifa.
Washauri wa rais Obama wakutana kuijadili Syria
Washauri wa rais Barack Obama watakutana katika ikulu ya Marekani ya White House mwishoni mwa wiki hii kujadili nafasi mbali mbali za nchi hiyo, ikiwa ni pamoja na hatua za kijeshi, dhidi ya serikali ya Syria.
Obama: Silaha za kemikali Syria ni hatari kubwa
Rais wa Marekani Barack Obama amesema madai ya kutumiwa silaha za kemikali nchini Syria ni tukio kubwa na la kutia wasiwasi, lakini amejizuia kutaja hatua zinazoweza kuchukuliwa na serikali yake
Ban aonya juu ya matumizi ya silaha za kemikali Syria
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon ameonya kwamba huenda kukatokea madhara makubwa iwapo madai ya kutumika silaha za sumu nchini Syria yatathibitishwa.
Mapigano yapamba moto Damascus
Vikosi vya serikali ya Syria vimeendelea kuhujumu kwa mabomu vitongoji vya mji mkuu Damascus vinavyodhibitiwa na waasi,vikizidisha kishindo katika mitaa inayosemekana ilihujumiwa kwa silaha za kemikali.
Sumu yadaiwa kuuwa Syria
Majeshi ya Syria leo hii yameshambulia vikali kwa kutumia mizinga na maroketi katika baadhi ya viunga vya jiji la Damascus, shambulio ambalo makundi mawili ya upinzani yanadai imetumika hewa ya sumu na kusababisha vifo.
Mripuko wa bomu waua watu 18 Beirut
Mripuko mkubwa wa bomu la kutegwa katika gari mjini Beirut nchini Lebanon umeua watu 18 na wengine zaidi ya 200 wamejeruhiwa katika eneo lililo na watu wengi ambalo ni ngome ya kundi la wanamgambo wa Hezbollah.
Wakaguzi wa Umoja wa Mataifa wakubaliwa kuingia Syria
Umoja wa Mataifa umesema wakaguzi wa silaha za kemikali wanatarajiwa kwenda nchini Syria baada ya nchi hiyo kukubali ujio wa wakaguzi hao.
Syria yakanusha madai ya kushambuliwa msafara wa Assad
Huku waasi nchini Syria wakidai kuushambulia msafara wa magari ya Rais Bashar Al Assad hii leo asubuhi, serikali ya nchi hiyo imekana madai hayo ikisema hayana ukweli wowote.
Mapigano makali yazuka Aleppo
Mapigano makali yamezuka leo katika mji wa kaskazini wa Aleppo, ikiwa ni siku moja baada ya waasi kudhibiti kambi ya karibu ya jeshi. Aidha, mripuko uliosababisha mauaji umetokea katika mji wa Raqa.
Rowhani kuendelea kumsaidia Assad
Uongozi mpya wa Iran umeiahidi Syria kwamba hakutakuwa na mabadiliko yoyote kwenye muelekeo wa Iran kuelekea Syria na kwamba ushirikiano wa nchi hizo mbili utaendelea kama kawaida.
Syria yahimizwa kutoa nafasi kwa misaada ya kigeni
Wajumbe wawili wa Umoja wa Mataifa wako mjini Damascus kuihimiza serikali ya Syria kuwakubalia maafisa wake kuingia nchini humo kuchunguza matumizi ya silaha za kemikali, yanayodaiwa kutumika katika miezi 28 ya ghasia
Wakaguzi wa UN wawasili Syria kuchunguza silaha za sumu
Wakaguzi wawili wa Umoja wa Mataifa wamewasili leo mjini Damascus kuchunguza madai kwamba silaha za sumu zilitumika katika mgogoro wa Syria uliyodumu miezi 28 sasa.
Kiongozi wa waasi Syria akutana na rais Hollande
Kiongozi wa muungano wa upinzani nchini Syria Jumatano hii anakutana na rais Francois Hollande, siku moja baada ya kuiomba Ufaransa itoe msaada wa kijeshi kuwaongezea nguvu waasi wanaopambana na utawala wa Assad.
Obama kuendelea na mpango wa kuwapa waasi silaha
Rais Barack Obama wa Marekani sasa ataweza kuendelea na mpango wake wa kuwapa silaha waasi wa Syria, baada ya wabunge wa bunge la Marekani kuondoa kikwazo baada ya baadhi yao kuwa na wasiwasi na mpango huo.
Mamia ya wafungwa watoroshwa Iraq
Wanamgambo wenye silaha nchini Iraq wamevamia magereza mawili, likiwemo lile maarufu la Abu Ghraibu, na kuanzisha mapigano yaliyouwa watu 41 na kuwatorosha wafungwa wasiopungua 500.
Viongozi wa Syria na Urusi wakutana
Naibu Waziri Mkuu wa Syria Qadri Jamil yuko nchini Urusi kwa mazungumzo na waziri wa mambo ya nchi za nje juu ya namna ya kumaliza mgogoro wa Syria, uliodumu kwa zaidi ya miaka miwili sasa.
Kerry aitaka dunia kuchukua hatua zaidi kwa Syria
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani John Kerry ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua jukumu kubwa zaidi katika kuuangalia mzozo wa kibinadamu nchini Syria kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
Sasa wakimbizi Syria kama wa Rwanda 1994
Maafisa wakuu wa Umoja wa Mataifa wamearifu kuwa mgogoro wa wakimbizi unaosababishwa na vita vya Syria ndio mkubwa zaidi kutokea tangu ule wa wakati wa mauaji ya kimbari nchini ya mwaka 1994 nchini Rwanda.
Watoto wazidi kuteketezwa Syria
Majeshi ya serikali ya Syria yamevishambulia vijiji vinavyodhibitiwa na waasi katika mkoa wa kaskazini wa Idlib kwa maroketi, mizinga na ndege, na kuua watu wasiopungua 29, wakiwemo watoto sita.
Jeshi huru la Syria FSA, lapoteza kamanda wake leo
Kundi la Al-Qaeda nchini Syria leo limemuuwa kiongozi wa waasi wa jeshi huru la Syria FSA, Kamal Hamami na wapiganaji wengine wawili, katika mapigano yaliojiri katika wilaya ya pwani ya Latakia nchini Syria.
Waasi wa Syria walitumia silaha za gesi ya Sarin yasema Urusi
Balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa amesema wataalamu wa nchi yake wamebaini waasi wa Syria walitengeneza silaha za kemikali zilizokuwa na gesi ya Sarin na kuitumia kwenye mashambulizi ya eneo la Khan al-Assal.
Mfungo wa Ramadhani waanza
Leo ni Ramadhani Mosi kwa sehemu kubwa ya ulimwengu wa Kiislamu, mwanzo wa mwezi mmoja wa waumini wa dini hiyo kujitakasa na kujikaribisha kwa Muumba wao, na pia kuhurumiana wao kwa wao.
Turathi za Syria zipo hatarini kupotea
Kutekwa miji mikubwa na kuharibiwa sehemu za makumbusho nchini Syria, ni tishio kwa turathi za kitamaduni za nchi hiyo wakati huu wa vita kati ya waasi na vikosi vya utawala wa Assad
Wimbledon : Miaka 77 ya Uingereza kusubiri yamalizika
Enzi ya kusubiri yamalizika Waingereza waamka leo(07.07.2013)wakiwa mabingwa wa tennis wa Wimbledon baada ya kusubiri miaka 77. Muingereza Andy Murray awa shujaa wa Uingereza baada ya kumwangusha Novak Djokovic.
Waasi wa Syria kukwepa mkutano wa Geneva
Kiongozi mpya wa muungano wa waasi wa Syria, Ahmad Jarba (pichani juu) amesema muungano wao hautashiriki katika mazungumzo ya amani yaliyopendekezwa na Urusi na Marekani, hadi watakapoweza kujiimarisha tena kijeshi.
Mapigano yapamba moto Homs
Mapigano yanaripotiwa Homs kati ya vikosi vya serikali vinavyosaidiwa na wanamgambo wa Hisbollah na waasi wa Syria.Nazo falme za kiarabu zimeitisha kikao cha dharura cha baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
Mkutano wa amani kuhusu Syria Geneva wapigwa dana dana
Mazungumzo ya Syria Geneva, yanasogezwa mbele. Mvutano kati ya Urusi na Marekani ni jinamizi kwa baraza la usalama la umoja wa mataifa, katibu mkuu wa umoja wa mataifa ana hofu kuhusu mazungumzo hayo ya syria.
Syria yakosoa hatua ya kuwapa silaha waaasi
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Syria Walid al-Moualem amekosoa hatua ya nchi marafiki wa Syria kuwapatia silaha waasi, akisema kuwa hatua hiyo haitasaidia juhudi za mkutano wa amani wa mjini Geniva
Mataifa makubwa kuwasaidia waasi Syria
Mataifa makubwa yanayounga mkono waasi nchini Syria yameamua jana Jumamosi (22.06.2013) kuwapatia waasi msaada wa haraka wa silaha ili kuweza kupambana na majeshi ya serikali na kuwalinda raia wa nchi hiyo.
Obama ziarani Berlin na Syria magazetini
Ziara ya rais Barack Obama wa Marekani mjini Berlin, mkutano waG8 na siku 200 za kiongozi mpya wa kanisa katoliki ulimwenguni, ni miongozi mwa mada zilizopewa kipaumbele na wahariri wa magazeti ya Ujerumani .
Berlin yampokea Obama kwa ulinzi mkali
Rais Barack Obama wa Marekani, yuko katika ziara rasmi mjini Berlin, itakayodumu masaa 25 na dakika 5. Katika muda huo, Obama atakuwa na mazungumzo na viongozi wa Ujerumani na pia kuhutubia umma.
Mkutano wa G8 wafikia ukingoni
Viongozi wa nchi nane zilizoendelea kiviwanda duniani G8 wanajadili kuhusu jinsi ya kuzuia kutekwa nyara kwa wafanyakazi wa kigeni katika nchi za Afrika na kuyadhibiti makampuni yanayohama hama ili yalipe kodi.
Mkutano wa G8; suala la Syria lagubika mkutano
Vita nchini Syria vimetawala mwanzoni mwa mkutano wa mataifa ya G8 nchini Ireland ya kaskazini Jumatatu(17.06.2013)wakati viongozi wa mataifa ya magharibi wakiongeza mbinyo kwa Urusi kuacha kumuunga mkono rais Assad.
Syria yagubika mkutano wa kilele wa G8
Rais Barack Obama wa Marekani amewasili Belfast,Ireland ya kaskazini kuhudhuria mkutano wa kilele wa mataifa 8 tajiri kiviwanda na kuzungumza na kiongozi mwenzake wa Urusi Vladimir Putin kuhusu mzozo wa Syria.
Mursi akata mahusiano na Syria
Rais wa Misri Mohammed Mursi amesema kuwa amekata uhusiano wote wa kidiplomasia na utawala wa mjini Damascus, na kutoa wito wa kuundwa kwa eneo la marufuku ya kuruka ndege nchini Syria.
Waasi wa Syria maji ya shingo,Obama aahidi kuwasaidia silaha.
Licha ya kutangazwa kwa azma hiyo ya Marekani, Ikulu ya White House imeweka wazi kwamba, Rais Assad amevuka kile Obama alichowahi kukiita "mstari mwekundu", serikali hiyo inakusudia kuliendelea suala hilo kwa tahadhari.
Majeruhi wa mji wa Qusayr wachapa mguu kuelekea Lebanon
Waangalizi wa haki za binadamu nchini Syria, wanasema hali ya maelfu ya watu majeruhui katika mji wa Qusayr ni mbaya zaidi na hadi sasa bado wapo katika mji huo.Umoja wa Mataifa umeomba huduma zipelekwe haraka katika
Watoto ndiyo waathiriwa wakubwa katika vita vya Syria
Watoto wanalengwa katika vita vya hila nchini Syria na hutumika kama ngao na wapiganaji. Ripoti iliyotolewa hivi punde na Umoja wa Mataifa inaelezea masaibu ya kusikitisha na kugutusha yanayowakumba watoto wa Syria.
Mapambano yatishia kuvunja mazungumzo ya Geneva
Wanaharakati nchini Syria wanasema waasi wameshambulia kijiji kimoja katika eneo la mashariki na kuua watu kadhaa kutoka madhehebu ya shia,wengi wao wakiwa ni wanaounga mkono majeshi ya serikali
Utawala wa Syria umedhibiti eneo muhimu la milima ya Golan
Wanajeshi watiifu kwa utawala wa Syria wameliteka eneo la milima ya Golan linazitenganisha Syria na Israel kutoka mikononi mwa waasi,na duru za ulinzi zinadokeza uwezekano wa kuendelea kudhibiti maeneo mengine zaid.
Jeshi la serikali lauteka mji muhimu wa Qusseir
Wanajeshi wa serikali ya Syria pamoja na Hisbollah wameukomboa mji muhimu Qusseir na kuwalisha hasara waasi.Ushindi huo umetangazwa huku Ufaransa na Uingereza zikisema jeshi la serikali limetumia gesi ya sumu ya sarin
Waasi Syria wataka sasa kuwekwa zoni za kutoruka ndege
Hali ya kurudishwa nyuma kwa waasi imesababisha waungaji wao mkono kutoa wito wa kuingilia kati zaidi kijeshi kwa Marekani ili kuweza kuwapa waasi karata yenye nguvu katika majadiliano kabla ya mazungumzo ya amani.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 49 wa 77
Ukurasa unaofuatia