Viongozi wa ulimwengu wawasili China kuhudhuria mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai // Waziri Mkuu wa serikali ya Houthi nchini Yemen auawa katika shambulizi la Israel // Na Mkuu wa wanamgambo wa RSF Hemedti aapishwa kuwa kiongozi wa serikali sambamba ya Sudan