Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney ametangaza kuwa nchi yake inapanga kulitambua rasmi Taifa la Palestina+++Iran imevielezea vikwazo vipya vya Marekani vinavyoilenga sekta ya usafirishaji wa baharini kuwa "vyenye nia ovu"+++Serikali ya Kenya imepinga rasmi sheria mpya za utoaji wa leseni za biashara na hatua za kodi zilizowekwa na Tanzania