Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Johann Wadephul, amesema Israel inazidi kutengwa kidiplomasia kutokana na mzozo wa kiutu unaoendelea Gaza+++Umoja wa Mataifa limefichua kuwa takriban raia 169 waliuawa mapema mwezi huu katika shambulio la kundi la M23.