Kiongozi wa siasa kali za mrengo wa kulia nchini Ufaransa Marine Le Pen amepatikana na hatia katika kesi ya ubadhirifu kutokana na matumizi mabaya ya fedha za Bunge la Ulaya kupitia chama chake cha National Rally+++Israel imependekeza mpango wa makubaliano yatakayowezesha kuachiwa mateka wanaozuiliwa katika Ukanda wa Gaza