Jumuiya ya kimataifa imeitaka Rwanda kuondoa wanajeshi wake nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na kusitisha uungaaji wake mkono kwa waasi wa M23+++Wabunge wa Ujerumani wanakabiliwa na kibarua kigumu leo cha kupiga kura kwa mara nyingine kuhusu hoja ya hivi karibuni iliyopitishwa na bunge inayotaka mageuzi katika sheria ya uhamiaji