Jeshi la Uganda UPDF limesema wanajeshi wake walioko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, watatafuta mbinu ya kujiimarisha kiulinzi+++Bunge la Ujerumani, Bundestag linatarajiwa jioni hii kuupigia kura muswada tata utakaoanzisha kanuni kali za kudhibiti uhamiaji.