Iran yatetea uamuzi wake wa kusimamisha ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Nguvu za Atomiki,IAEA+++Guterres ataka dunia iukabili ufukara wa kutisha+++Israel yataja kuwa tayari kurejesha mahusiano ya kidiplomasia na majirani zake+++DRC: Miaka 65 uhuru katikati mwa mwa matumaini na mashaka