Marekani imeliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa pendekezo lake la kusitisha vita kati ya Ukraine na Urusi kwa siku 30 ndilo fursa bora kabisa kwa Rais Vladimir Putin+++Mlipuko wa kipindupindu unaotikisa mji mkuu wa Sudan, Khartoum, umesababisha vifo 70 ndani ya siku mbili